Unajua binadamu haridhiki mtu akiwa anapenda ile kitu mwingine analalamika akiwa hataki analalamika tufanyeje maana kama mwanaume analalamika mwanamke wake anapenda mgegedo ina maana anamridhisha na kama jamaa hataki bidada akaridhishwe na nani?Mmh..!
Unajua binadamu haridhiki mtu akiwa anapenda ile kitu mwingine analalamika akiwa hataki analalamika tufanyeje maana kama mwanaume analalamika mwanamke wake anapenda mgegedo ina maana anamridhisha na kama jamaa hataki bidada akaridhishwe na nani?
Huyu ni msichana wa 63 kati ya wasichana 67.
Mods thread kama hizi za kutunga zifungie kwani zinasababisha forum yetu kupoteza hadhi yake. Watu wanajiandikia chochote kinachowajia vichwani mwao ilimradi tu wapate umaarufu kutoka kwa wasomaji.
Huwez amini mkuu nimetani ghafla huyo dem aniachie Mimi duuu
Watu wanafunga kukesha kuomba wapate wanawake Wa aina hyo jamaa anaremba DUI imenisikitisha sana kwakweli
Usiombe mkuu kukutana nao na uzuri wao hawana half time km ulizozoea, unaweza enda hata raundi tatu na yeye hadi tano bila kushuka maana mwanzo mwisho hawakauki na km huwezi jikontroo ndio unapotea kabisa , unamsugua mpaka anajikanda lkn kesho ukirudi kazini anataka kama kawa. Na utamu wa hawa viume ni kavu kavu sio kwa condom maana wengine zinawachubua au kuwawasha na hapo kila akikumbuka dushe hamu inaisha wee unadai umemridhisha.
Kuna binti flani kwa sasa tupo katika hatua ya mchumba, ni mpole na anatabia njema,
Kitu ambacho kinanitia mashaka juu yake ni tabia yake ya kupenda kugegedwa kila tukikutana tu yeye anataka dushe, inafikia wakati nikiwa na ratiba muhimu nakwepa kukaa nae faragha maana najua atalianzisha.
Swali ninalojiuliza endapo ikitokea nimepata safari hata kwa miezi miwili tusiweze kuonana na huyu binti nitachapiwa mara ngapi? maana hawezi kudhibiti mihemko yake.
Kwa wale wazoefu huyu atafaa kweli kuwa mke muaminifu kwa hii tabia yake?
Vizuri sana mkuu maana kuna watu kila jambo huchukulia kama mzaha na uzembe. kwa ufupi huyu binti anapenda kila siku nikitoka kazini nimgegede na huwa natimiza wajibu wangu ipasavyo anaenda hadi bao 4 wakati mimi nikiwa na bao moja tu. kwa hali hii huwa nadhani atapunguza kutaka kila siku ila ajabu ikipita siku moja huwa ni lawama na ikiwezekana hutumia nguvu.
That's a different story.It might be a demonic spirits kama mtu anataka kufanya hata barabarani. Issue ya huyu mwenzetu ni tofauti, mpenz wake anataka wa-do wakiwa pamoja ndo maana jamaa anakimbia faragha.....Hahahahahahaha SIJAPA ona hii... Hakikisha unakula nyanya pichi moja kila siku...BIG RESULT
You are right , mwanamke ukimkuna vizuri ndiyo hamu dhidi yako huongezeka Mara dufu.
Hivyo nahisi mwanadada kampenda mleta mada na anafikishwa haswaa.