Mpenzi wangu hawezi kukaa muda mrefu bila kufanya mapenzi

Mpenzi wangu hawezi kukaa muda mrefu bila kufanya mapenzi

there are two things involved:

aidha hatoi kwa wengine kwa iyo kila akiwa na hamu anaona akutafute ,na akipata kwako anatulia
au

Anapenda sex sana na amezoea kupata.

Kama option ni ya kwanza
Usiogope, mara nyingi mdada akijifanya busy kila akikuona anapga kalenda huwezi jua labda kuna sehemu nyingine anapumzika. Na apa kuna three things involved.

Kama option ni no2 Kama amezoea, ukimnyima atapata kwa kina Gsana, ivo linda ndoa, akitaka mkaze tu.

Kuchapiwa au kutochapiwa ilo ni jukumu la mkeo wala huwezi kulilinda, unaweza ukaweka hadi kamera ila akenda job akampa bosi wake jikoni...rejea afande wa juzi apa jf.

Play ur party, it can be done!!
 
Mkuu hauja funguka vizuri, lah pengine ungeweka wazi anapenda marangapi kwa siku, weki au kwa mwezi. Pia isije ikawa tatizo lipo kwa upande wako hauwezi mbio ndefu.
 
Duh............kweliiii maajabu, ushawaza kuchapiwa na watakuchapiwa mpaka basi.
Wacha kumuwazia mwenzio ambalo haliwazii jiamini wewe acha woga woaga!!
 
Nilikuwa nasikia tu vijana wa dot com legelege...nazidi thibitisha...unakimbia msichana sababu anapenda sex...wonders never seize...
wengine wasichana wao mpaka watafute wine ndio wapate mzuka...wewe umepata kitu natural unaremba...embu muwache wamchukue wanaoiweza shughuli...utamtesa bure au umtie majaribuni ...maana akitafuta mchepuko huwezi lia lia kama unakimbia mechi
 
Nilikuwa nasikia tu vijana wa dot com legelege...nazidi thibitisha...unakimbia msichana sababu anapenda sex...wonders never seize...
wengine wasichana wao mpaka watafute wine ndio wapate mzuka...wewe umepata kitu natural unaremba...embu muwache wamchukue wanaoiweza shughuli...utamtesa bure au umtie majaribuni ...maana akitafuta mchepuko huwezi lia lia kama unakimbia mechi
I beg to differ, kuna watu(bila kujali jinsia) ni sex maniacs.! They enjoy having sex anytime of the day....as many times as they can possibly have it..! Kuna documentary moja niliwahi angalia, mwanamke alikuwa na 20+ orgasms per day, alibadili wanaume just for the sake of satisfaction. Hakuna mwanaume aliyeweza kuishi nae na kumfanya akaridhika. Alikuwa akiendesha gari, mara genye za ajabu zinamjia, anasimama, anajipiga mdoli then akimaliza anaendelea na safari. Mtu kama huyu (possibly wapo wanaume wa hivi) huwezi kumridhisha kirahisi..... Lazima akutane na mtu mwenye mihemko ya level yake, otherwise ni ngumu...!
 
mkuu usiachie mzigo huo, wasichana wenye genye za hivo ni watamu mno, we vuta mzigo ndani mpumbushane hadi kieleweke.
Kutoka nje ya ndoa ni tabia ya mtu binafsi hata kama hapendi kila mara akiamua chepuka ataenda liwa tu kwa jirani.

Akikushinda naomba uniachie na mm mkuu maana wengine tunafunga na kuomba tupate wanawake Wa aina hyo
 
Nilikuwa nasikia tu vijana wa dot com legelege...nazidi thibitisha...unakimbia msichana sababu anapenda sex...wonders never seize...
wengine wasichana wao mpaka watafute wine ndio wapate mzuka...wewe umepata kitu natural unaremba...embu muwache wamchukue wanaoiweza shughuli...utamtesa bure au umtie majaribuni ...maana akitafuta mchepuko huwezi lia lia kama unakimbia mechi

Huwez amini mkuu nimetani ghafla huyo dem aniachie Mimi duuu
Watu wanafunga kukesha kuomba wapate wanawake Wa aina hyo jamaa anaremba DUI imenisikitisha sana kwakweli
 
Hapo labda unajua kumridhisha sana kias kwamba amekuaa akikuona tu anadai mchezo


Hiv ulimkuta na bikira yake?
Ukweli n kwamba uwezekano wa wewe kuibiwa upo na uwezekano wa kutoibiwa upo. Kama ana tabia za chura kila mahali huruka bas jibu liko wazi

Hili swali la muhimu pia. Kama alishawahi kupata ze utamu mahali flani ambao ww hujaufikia mzee unaweza kuona imekua kero. Zungumzeni anataka mfanye vipi ili awe anaridhika na huduma yako..vinginevyo anawezapigwa hata ukiwa hujasafiri mkuu
 
Ukimuweka ndani na kumpa dose ya uhakika mihemko yote itamwisha.
 
Hili swali la muhimu pia. Kama alishawahi kupata ze utamu mahali flani ambao ww hujaufikia mzee unaweza kuona imekua kero. Zungumzeni anataka mfanye vipi ili awe anaridhika na huduma yako..vinginevyo anawezapigwa hata ukiwa hujasafiri mkuu

ahahah umeona enh hebu atujibu
 
Back
Top Bottom