Mpenzi wangu hawezi kukaa muda mrefu bila kufanya mapenzi

Mpenzi wangu hawezi kukaa muda mrefu bila kufanya mapenzi

I beg to differ, kuna watu(bila kujali jinsia) ni sex maniacs.! They enjoy having sex anytime of the day....as many times as they can possibly have it..! Kuna documentary moja niliwahi angalia, mwanamke alikuwa na 20+ orgasms per day, alibadili wanaume just for the sake of satisfaction. Hakuna mwanaume aliyeweza kuishi nae na kumfanya akaridhika. Alikuwa akiendesha gari, mara genye za ajabu zinamjia, anasimama, anajipiga mdoli then akimaliza anaendelea na safari. Mtu kama huyu (possibly wapo wanaume wa hivi) huwezi kumridhisha kirahisi..... Lazima akutane na mtu mwenye mihemko ya level yake, otherwise ni ngumu...!

That's a different story.It might be a demonic spirits kama mtu anataka kufanya hata barabarani. Issue ya huyu mwenzetu ni tofauti, mpenz wake anataka wa-do wakiwa pamoja ndo maana jamaa anakimbia faragha.....Hahahahahahaha SIJAPA ona hii... Hakikisha unakula nyanya pichi moja kila siku...BIG RESULT
 
Inawezekana humfikishi kilele ndo maana anataka kila mida umdo. Jitahidi kumfikisha kilele atatulia tuli. Na isitoshe kwa vile ni wachumba ndo maana anataka kuhakikisha kama utaweza kumfikisha ndo akubali kwenda madhabahuni. Usipoweza Kumfikisha mwanamke kilele hatakubali kuolewa.
 
That's a different story.It might be a demonic spirits kama mtu anataka kufanya hata barabarani. Issue ya huyu mwenzetu ni tofauti, mpenz wake anataka wa-do wakiwa pamoja ndo maana jamaa anakimbia faragha.....Hahahahahahaha SIJAPA ona hii... Hakikisha unakula nyanya pichi moja kila siku...BIG RESULT
Ha ha..! Mkuu unaweza kumhendo mtu wa hivi??
 
Hapo labda unajua kumridhisha sana kias kwamba amekuaa akikuona tu anadai mchezo


Hiv ulimkuta na bikira yake? Ukweli n kwamba uwezekano wa wewe kuibiwa upo na uwezekano wa kutoibiwa upo. Kama ana tabia za chura kila mahali huruka bas jibu liko wazi
You are right , mwanamke ukimkuna vizuri ndiyo hamu dhidi yako huongezeka Mara dufu.
Hivyo nahisi mwanadada kampenda mleta mada na anafikishwa haswaa.
 
Kweli tunatofautiana, binafsi tungeenda sawa sana na huyo dada.
 
Kweli tunatofautiana, binafsi tungeenda sawa sana na huyo dada.

Swala si kuto_kumridhisha dada maana asingekuwa anafika safari angenikimbia, point ni kwamba kwa kiwango chake cha mhemuko je ataweza kuvumilia bila kucheat endapo nitakuwa mbali kwa muda?
 
Swala si kuto_kumridhisha dada maana asingekuwa anafika safari angenikimbia, point ni kwamba kwa kiwango chake cha mhemuko je ataweza kuvumilia bila kucheat endapo nitakuwa mbali kwa muda?

Sijamaanisha humfikishi mkuu, nilichomaanisha ni kwamba kwangu mimi huyo ni bora kuliko angekuwa kinyume chake.
 
Back
Top Bottom