Jaslaws
JF-Expert Member
- May 31, 2011
- 6,016
- 5,300
- Thread starter
- #81
Daah!mkuu bangi kitu ingine ipo siku atakuja kukufanya kitu cha ajabu humo ndani,chamsingi mkataze na mueleze madhara yake asipokuelewa mchonganishie police alafu akae lockup hata siku tatu akitoka hata thubutu.
Aswaa mkuu bangi sio nzuri.