Mpenzi wangu anavuta bangi

Mpenzi wangu anavuta bangi

Daah!mkuu bangi kitu ingine ipo siku atakuja kukufanya kitu cha ajabu humo ndani,chamsingi mkataze na mueleze madhara yake asipokuelewa mchonganishie police alafu akae lockup hata siku tatu akitoka hata thubutu.

Aswaa mkuu bangi sio nzuri.
 
oa am a 100% sure hupati kama huyo tena....wametuliaga sana mambo za ajabu hawana.....they are straight and open minded
 
Ni kweli my dia bangi haina madhara, na huyo demu kuvuta ni jambo la kawaida sn so jamaa achukulie poa tu watu tuna miaka 13 kwenye gemu since primary school hadi leo tupo hapa na hamna effects zozote.
Na ingekua na madhara huko jamaika sijui watu wake wangefananaje,tatizo watu washajijengea hulka ya kua bangi ni mbaya,gushi siach ng'ooooo,ina rahaaaa yake atii!
 
halafu acha ushamba wewe, kumbe wewe unatupia biere (pombe), mwaache na yeye atupie bangi, kuna wengine bangi ndio gia ya kufanya kazi vizuri. muache aendelee cha muhimu ushauri, ila ukijifanya unakuwa mkali utamkosa huyo. starehe ya mtu usiiharibu.
 
............... juzi nikamuuliza kama anatumia bangi,bahati nzuri hakua na ubisha alikubali,anasema bangi anayovuta haina matatizo yoyote kwake eti ni starehe tu kama mimi.......

Najua yupo jamii forum na najua atausoma huu uzi na najua ataanzisha mtiti mwingine, poa tu mi natafuta ushauri tu.

Maamuzi ya wavuta bangi huwa ni ya ovyo na ya kushtukiza, demu wako anaweza akakaa hata miaka mitano upo sawa ila ipo siku moja ataamua kitu utatamani usingezaliwa! Mpeleke kitengo cha madawa ya kulevya mwananyamala hosp watampa tiba sahihi.
 
hahahahah yewoooooo chineke mwache tu atakapokuwa chizi ndo mapenzi kunoga

Ingekua inaleta uchizi jamaica wangechizika nchi nzima,weed ni starehe,ila kuna baadhi ya watu wanavuta kutokana na ugumu wa maisha,hao ndio wanatuharibia!
 
  • Thanks
Reactions: HMS
Maamuzi ya wavuta bangi huwa ni ya ovyo na ya kushtukiza, demu wako anaweza akakaa hata miaka mitano upo sawa ila ipo siku moja ataamua kitu utatamani usingezaliwa! Mpeleke kitengo cha madawa ya kulevya mwananyamala hosp watampa tiba sahihi.
Kama yepi maamuzi ya hovyo???!!!
Akili yako tu
 
  • Thanks
Reactions: HMS
Mkuu unamaanisha nitengeneze ganja smoking room sio?uoni kma ntakua namuhamasisha.?

Sasa unataka akavute kwenye magetto ya watu wengine? kumbana asivute hauwezi mkuu, mwekee mazingira, muoneshe km unajali unachokitaka humpingi lakini hapo hapo unatumia busara kumshawishi aache taratibu, akija kuacha hilo getto unapabadilisha unaweka kama library au stoo au vovote unavopenda. Tumia busara sana kwa mwanamke, hawa jamii yao ya ajabu sana, utampoteza shauri yako, ila kama yakikushinda chapa lapa tafuta mwingine, lakini kama unampenda huo ndo ushauri.
 
Maamuzi ya wavuta bangi huwa ni ya ovyo na ya kushtukiza, demu wako anaweza akakaa hata miaka mitano upo sawa ila ipo siku moja ataamua kitu utatamani usingezaliwa! Mpeleke kitengo cha madawa ya kulevya mwananyamala hosp watampa tiba sahihi.
aaaah wapi,ww wasema,mtu akifanya upumbavu ni kwa sababu na yy ni m.pu.mba.vu!na c bangi,mangapi tunashuhudia ya ajabu yanafanyika wanaofanya wanakua wamebangika?acha hizo hahaa!
 
Sasa unataka akavute kwenye magetto ya watu wengine? kumbana asivute hauwezi mkuu, mwekee mazingira, muoneshe km unajali unachokitaka humpingi lakini hapo hapo unatumia busara kumshawishi aache taratibu, akija kuacha hilo getto unapabadilisha unaweka kama library au stoo au vovote unavopenda. Tumia busara sana kwa mwanamke, hawa jamii yao ya ajabu sana, utampoteza shauri yako, ila kama yakikushinda chapa lapa tafuta mwingine, lakini kama unampenda huo ndo ushauri.

Umeumaliza uzi ungali na umri mdogo!!!!!
 
Back
Top Bottom