Katavi
Platinum Member
- Aug 31, 2009
- 41,983
- 12,701
- Thread starter
- #21
Ha ha haaah!! Mia....hapo unamjibu kwa upole tu na kwa tabasamu kubwa.
unamwambia;
Baby i love you too. Naomba leo ujilipie mwenyewe, mimi ntakulipia siku nyingine sababu hapa nilipo nimepatwa na matatizo makubwa. ntakueleza tukionana coz sio ya kuongelea kwenye simu. Nasikitika kutowaona marafiki zako wapendwa. wasalimie sana.
Samahani kwa usumbufu utakao jitokeza.
Love you so much..!!Mmwaaa...!!!!.
Harafu unazima simu. Mia