Hahahahaaaa Katavi kazi unayo
Dawa ya hao ni kuwaacha wasome sisi wetu sio hao lol
Hao waache wakumbane wao kwa wao
Lol Tafuta Shugamumy hutapata hizo stress kamwe
Hahahahaaaa Katavi kazi unayo
Dawa ya hao ni kuwaacha wasome sisi wetu sio hao lol
Hao waache wakumbane wao kwa wao
Lol Tafuta Shugamumy hutapata hizo stress kamwe
Kwikwikwikwikwikwikwikwikwikwiiiiiiiiii
Lol nimecheka kinafiki hadi najishtukia lol
Kama ni mimi nimeambiwa hivyo lazma walau ningebadili hata ID maana ni kashfa nzito sana kwa Bishanga mh
hapo unamjibu kwa upole tu na kwa tabasamu kubwa.
unamwambia;
Baby i love you too. Naomba leo ujilipie mwenyewe, mimi ntakulipia siku nyingine sababu hapa nilipo nimepatwa na matatizo makubwa. ntakueleza tukionana coz sio ya kuongelea kwenye simu. Nasikitika kutowaona marafiki zako wapendwa. wasalimie sana.
Samahani kwa usumbufu utakao jitokeza.
Love you so much..!!Mmwaaa...!!!!.
Harafu unazima simu. Mia
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.