Mpenzi wangu ananibania sex

Mpenzi wangu ananibania sex

kwahiyo mkuu tangia uanze mahusiano nae hujala mzigo popote....Watu mna uvumilivu sana aise 2 years
 
Habari za jioni wanajamvi

mimi ni kijana wa kiume, miaka 24..nina mpenzi wangu ninampenda sana.. nilianza kumfukuzia tangu nipo kidato cha 5 mwaka 2012 yeye akiwa kidato cha 3..akanikubalia 2015... na huu ni mwaka wa 2 tupo katika uhusiano rasmi..kwa sasa nipo chuo kikuu mwaka wa 3 na yeye ni mwaka wa 1..tunasoma vyuo tofauti..!

kinachonitatiza ni kwamba kila nikitaka sex amekua mgumu.. hataki, anasema nisubiri mpaka tuoane.. na hajawah ku date na mtu yeyote previously, mimi ndie first love!

kwa wataalamu wa haya mambo, mnanishauri nifanyeje? nisubiri mpaka ndoa? maana napata shida sana (nadhan wanaume mnanielewa nnachomaanisha).. na je ni kweli huyu binti anamaanisha au kuna wahuni wanamgonga huko?

NB: NAOMBA USHAURI WA KUJENGA SIO KEJELI
Wewe utakuw mutu murefu kwa kwenda chn maana hata akil yko imedumaa!yan dem umkimbzie 2012 hadi 2015 kwan uliota kuw ukiw nae hutokufa?
 
Ebu muache binti wa watu amalize shule na bikra yake kama huwez kusubir muache tu we katafute mabazaz wenzio uendelee kuchovya chovya!!!
 
Kuwa na subira,uzinzi ni dhambi anataka mkasex kihalali kwenye ndoa. Halafu tafuta hela kijana maana anaona wote mna boom anakuonea huruma atalimaliza lote. Afu ikimaliza chuo usisahau kulipa deni la bodi.
 
ahahahaha anazngua kuja ghetto asee... anasema ana save for marriage... anadhan nataka kumkaza na kumwacha... so huwa tuna meet kula good time town and kissing tu.. ila sio ghetto

na pesa hajawah kuniomba kabisa... mda wote anawaza marriage tu.. ingawa huwa mm mwnyw najiongeza kumtumia sometimes na vizawadi
Anayewaza ndoa ndo mke mzuri. Anayewaza kukazwa ni mkazwaji tu. Mvumilia, akija kuzingua wapo wengi hao watu.
 
Kwahiyo kwahili ushajitolea muhanga!

Ha ha ha tatzo ni zile za zaman ndio ztanikamatisha ila kwa mpya muulize hata mwanao anajua tunasubir ndoa tu hapa hatugusan
 
nop sio kwenye simu... mm nasoma mzumbe moro..yeye UDSM .. ni ishu ya makubaliano tu either yy aje moro au mm niend dar

very simpo
Dah yaan mi nilidhan labda mtakuwa kwenye city moja kumbe Moro mpaka Dar!
Hukohuko Moro tafuta wa kupunguzia glands na kupatia experience (both presentation and sex).
May be its true, hivyo nakushauri msubiri huku ukijipa uzoefu si unajua experience matters.
 
Mwache anywe hata maji
Raimundo mzee hatak mchezo
Staki mchezo kwenye mambo ya akili...

Nimechoka kuuziwa kibudu kwenye kiroba

6a4e2c40705aa4aec658cddaab125445.jpg



CC emmyta , Numbisa .... kwanini mnatufanyia hivi lakini???

Bcc: Raimundo
 
Habari za jioni wanajamvi

mimi ni kijana wa kiume, miaka 24..nina mpenzi wangu ninampenda sana.. nilianza kumfukuzia tangu nipo kidato cha 5 mwaka 2012 yeye akiwa kidato cha 3..akanikubalia 2015... na huu ni mwaka wa 2 tupo katika uhusiano rasmi..kwa sasa nipo chuo kikuu mwaka wa 3 na yeye ni mwaka wa 1..tunasoma vyuo tofauti..!

kinachonitatiza ni kwamba kila nikitaka sex amekua mgumu.. hataki, anasema nisubiri mpaka tuoane.. na hajawah ku date na mtu yeyote previously, mimi ndie first love!

kwa wataalamu wa haya mambo, mnanishauri nifanyeje? nisubiri mpaka ndoa? maana napata shida sana (nadhan wanaume mnanielewa nnachomaanisha).. na je ni kweli huyu binti anamaanisha au kuna wahuni wanamgonga huko?

NB: NAOMBA USHAURI WA KUJENGA SIO KEJELI
Kama hakuchuni komaa nae labda ni miongoni mwa wachache waliobaki kizazi hiki. Ila kama anakuchuna tahadhari utakuja kulia. Tafuta spea tairi kwa tahadhari, sikufunzi ujinga no but spea tairi zinapunguza maumivu kwenye dharura, hawa wanaojiua hovyo kila siku walipenda na kuwekeza sehemu moja epuka hilo. Mtu uliyemtongoza miaka kadhaa akakukubalia kwa masharti bila shaka alikubali ili kuepusha kero tu ila haupo ndani ya moyo wake.
 
Back
Top Bottom