Mpenzi wangu ananibania sex

Mpenzi wangu ananibania sex

Habari za jioni wanajamvi

mimi ni kijana wa kiume, miaka 24..nina mpenzi wangu ninampenda sana.. nilianza kumfukuzia tangu nipo kidato cha 5 mwaka 2012 yeye akiwa kidato cha 3..akanikubalia 2015... na huu ni mwaka wa 2 tupo katika uhusiano rasmi..kwa sasa nipo chuo kikuu mwaka wa 3 na yeye ni mwaka wa 1..tunasoma vyuo tofauti..!

kinachonitatiza ni kwamba kila nikitaka sex amekua mgumu.. hataki, anasema nisubiri mpaka tuoane.. na hajawah ku date na mtu yeyote previously, mimi ndie first love!

kwa wataalamu wa haya mambo, mnanishauri nifanyeje? nisubiri mpaka ndoa? maana napata shida sana (nadhan wanaume mnanielewa nnachomaanisha).. na je ni kweli huyu binti anamaanisha au kuna wahuni wanamgonga huko?

NB: NAOMBA USHAURI WA KUJENGA SIO KEJELI
Mkuu ukiona manyoya ujue kanga kashaliwa sasa wewe kaa usubiri kuona manyoyaaa.
 
ahahahaha anazngua kuja ghetto asee... anasema ana save for marriage... anadhan nataka kumkaza na kumwacha... so huwa tuna meet kula good time town and kissing tu.. ila sio ghetto

na pesa hajawah kuniomba kabisa... mda wote anawaza marriage tu.. ingawa huwa mm mwnyw najiongeza kumtumia sometimes na vizawadi
Ni vzr,kama kweli umependa hilo toto la kike vumilia tu ,lakini kama vp chepuka kidogo ila asijue
 
ahahahaha anazngua kuja ghetto asee... anasema ana save for marriage... anadhan nataka kumkaza na kumwacha... so huwa tuna meet kula good time town and kissing tu.. ila sio ghetto

na pesa hajawah kuniomba kabisa... mda wote anawaza marriage tu.. ingawa huwa mm mwnyw najiongeza kumtumia sometimes na vizawadi
Ana maadili.....jitahidi usimpoteze, na baadhi ya comments zina negativity usiziweke kichwani.
 
Ndiyo maana kuna umuhimu wa kuwabania.
Kwani hamjui!?
hata wewe utatoa tu, mnasema hivyo lkn saa yako ikifika utaliwa tu hamna namna!
si umeona jamaa anasema pamoja na kunyimwa lakini huduma nyingine anaendelea kutoa tu!
ikifika saa jamaa akijua kutwist kidogo tu na kumfanya binti ajione si salama (akimset aji-feel insecure) then njia pekee ya kujihakikishia anamuwin huyo mwanaume ni kwa kuchojoa! na mkisetiwa huko, you will drop your bikini fasta na utatoa mzigo!
wanawake wengi ktk 18 - 24 wanaliwa kwa sababu hata sio za wao ku-enjoy game, lkn kwa sababu ya kustrengthen the bond ambapo mnaingia chaka mno!
mwanaume akikugonga, bond inakuwa loose!
wanaume ni conquerors, ukishaweka alama, unatazama biashara nyingine ambazo hazijafanika... haimaanishi kuwa unamuacha mwanamke, lkn kule ku-pretend kunaisha kabisa!
kama msukuma sasa unaishi kisukuma, kama mzaramo unaishi kama wanaume wengine wa kizaramo, au kichaga etc! yale mambo ya kizungu, kuja na roses etc unaweka pembeni na unadai ugali kama hamna unakuwa mkali! ukiomba demu aje kama alibanwa unakoroma, unlike wakati hujapewa mzigo, unaweza kusamehe hata kutukaniwa marehemu baba/mama yako, ila ukitoa bikini tu, hilo ni kosa kubwa linaloweza kukufukuzisha nyumbani kwa mwanaume na usikanyage milele!
 
ahahahaha anazngua kuja ghetto asee... anasema ana save for marriage... anadhan nataka kumkaza na kumwacha... so huwa tuna meet kula good time town and kissing tu.. ila sio ghetto

na pesa hajawah kuniomba kabisa... mda wote anawaza marriage tu.. ingawa huwa mm mwnyw najiongeza kumtumia sometimes na vizawadi
na mimi npo kwenye hili tatizo nataka kuachana nae tu
 
Habari za jioni wanajamvi

mimi ni kijana wa kiume, miaka 24..nina mpenzi wangu ninampenda sana.. nilianza kumfukuzia tangu nipo kidato cha 5 mwaka 2012 yeye akiwa kidato cha 3..akanikubalia 2015... na huu ni mwaka wa 2 tupo katika uhusiano rasmi..kwa sasa nipo chuo kikuu mwaka wa 3 na yeye ni mwaka wa 1..tunasoma vyuo tofauti..!

kinachonitatiza ni kwamba kila nikitaka sex amekua mgumu.. hataki, anasema nisubiri mpaka tuoane.. na hajawah ku date na mtu yeyote previously, mimi ndie first love!

kwa wataalamu wa haya mambo, mnanishauri nifanyeje? nisubiri mpaka ndoa? maana napata shida sana (nadhan wanaume mnanielewa nnachomaanisha).. na je ni kweli huyu binti anamaanisha au kuna wahuni wanamgonga huko?

NB: NAOMBA USHAURI WA KUJENGA SIO KEJELI
Wee kama haya uliyoyaandika ni ya kweli,,,basi huyo ndoo mke wa kumuoaa,,,,,hao chovya hovya sio wake wa ndoa,,,,
 
Back
Top Bottom