Mpenzi wangu ananibania sex

Mpenzi wangu ananibania sex

Una moyo mkuu!
Afu baada ya ndoa ukute ana K sio type yako, jiongeze...
 
Mmmmm Hanna kitu hapo yupo chuo halafu anataka msubiri ndo ile historian ya maria
 
Habari za jioni wanajamvi

mimi ni kijana wa kiume, miaka 24..nina mpenzi wangu ninampenda sana.. nilianza kumfukuzia tangu nipo kidato cha 5 mwaka 2012 yeye akiwa kidato cha 3..akanikubalia 2015... na huu ni mwaka wa 2 tupo katika uhusiano rasmi..kwa sasa nipo chuo kikuu mwaka wa 3 na yeye ni mwaka wa 1..tunasoma vyuo tofauti..!

kinachonitatiza ni kwamba kila nikitaka sex amekua mgumu.. hataki, anasema nisubiri mpaka tuoane.. na hajawah ku date na mtu yeyote previously, mimi ndie first love!

kwa wataalamu wa haya mambo, mnanishauri nifanyeje? nisubiri mpaka ndoa? maana napata shida sana (nadhan wanaume mnanielewa nnachomaanisha).. na je ni kweli huyu binti anamaanisha au kuna wahuni wanamgonga huko?

NB: NAOMBA USHAURI WA KUJENGA SIO KEJELI
Msikilize tuu kama unampenda nae anakupenda vumilianeni muda ukiwadia muoane tena kwa ndoa Takatifu...usiuridhishe moyo wako kwa uzinzi...kwani asipokupa K utakufa?Muogope Mungu
 
Huyo anakuchora tuu siku hizi hakunaga mwanamke bikra wa umri...wanawake sisi tunambinu nyingi za kumpumbaza mwanaume na akaelewa ni kweli hasa pale mwanamke akiona anapendwa na kuthaminiwa
 
Nilijua tu hutotoa jibu, maana kukaa hivi hivi ukimsubiri dota ni uongo kiwango cha unga.

Ila mkwe mbna kama unaniuliza maswal ya binti yako amekutuma nn kufanya upelelezi?
 
Ila mkwe mbna kama unaniuliza maswal ya binti yako amekutuma nn kufanya upelelezi?
Kwanini unaniuliza maswali usiyopaswa kuuliza? Unaanza kukosa adabu eeh(kujihami vepee!!)
 
Kwanini unaniuliza maswali usiyopaswa kuuliza? Unaanza kukosa adabu eeh(kujihami vepee!!)

Mkwe beki wewe mshambuliaj wewe..
Mie nashangaa kwel hata kama kamchepuko kako ndio nkataje kwel mbele yako?
 
Mmmmm Hanna kitu hapo yupo chuo halafu anataka msubiri ndo ile historian ya maria
Hahaha....story ya Maria alinichekesha sana....Maria hakua na huruma kabisa mwenzie alinyonga baiskeli vijiji vitatu kutafuta Network waongee Maria anamjibu anaenda Discussion.
 
Bi shost hebu tuliza mshono acha kuita majina ya watu ki kashifa, mimi ni dume la mbegu sasa unavyoniita kiajabu ajabu nakua sikuelewi. kua na adabu basi
Sasa mke mwema limetokea wapi?
 
Back
Top Bottom