Hii dhambi pendwa itatupeleka motoni wengi, maana unavyoitetea!!
Kufanya lazima,kwani mlipewa vya nn,yaani niwe na mtu afu anibanie ,mm namlia target ipo siku yatafahamika tu,ila mm nakaa mguu ndani mguu nje ,make mapenzi ya siku hizi yako kama gazeti kila mtu anasomaKwani lazima kufanya siukae tu
Duh hi hatar sanaWewe mpuuzi kweli, sex is earned and not given, huyo ni mpenzi, sisi tumeoa tunanyimwa na bado hatulalamiki, wewe hata kwao ujaenda unakuja kubwabwaja huku!!!! ningemjua ningemwambia akupige ban kabisa, una haki gani ya kupewa wewe kilaza!
When sex is between two people who are in love, the feeling is so special. Nunua dove kwa muda huu.
ushauri mujarabu kabisa huu.Ndio.Genye?
Kuna mmoja huko anaomba ushauri,naye story yake kama hii.....aliambiwa asubiri hadi ndoa saizi binti hamtaki.Hapo sasa wanajifanya wana mahaba kwel kumbe hamna kitu mwakan atakuja na thread hapa aliniambia mpka ndoa kumbe amensalit naomba ushaur
Nan atamshaur hapo
DuhNdio.
Hii dhambi pendwa itatupeleka motoni wengi, maana unavyoitetea!!
Acha woga wewe, nafsi inakusuta wap na wap unaleta telemundo enhee
kwakweli analeta za kinamalichui hyu!!!![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
kwakweli analeta za kinamalichui hyu!!!
Mzumbe sec wajanja si kama Le mutuzWew kama umekula videsa vya Njovu..rock..binamungu..itika..msanjila huyo mtoto ageshafanyiwa yake vikenge . La sivyo wewe ni wa mzumbe secondary hapo juu
Kuna mmoja huko anaomba ushauri,naye story yake kama hii.....aliambiwa asubiri hadi ndoa saizi binti hamtaki.
Kwahiyo kwahili ushajitolea muhanga!Ha ha ha mkwe moton kupo kama sio kwa hili bas kwa jengne
Aigooo!aigooo! aigooo!... umenigusa mpaka moyoni nmeumia haloo![]()
![]()
![]()

Hatari kweli....halafu atakuja kuomba ushauri tena.Yaan hiki ndio kilio kitakachofuata kamwambia tu simtak na jamaa hawez kuish bila yeye