Mpenzi wangu ameanza kunywa pombe

Mpenzi wangu ameanza kunywa pombe

Hawa wenzetu wanaojifanya wanajua dini wanachaguaga dhambi na dhambi. Zingine kwao dhambi zingine sio dhambi. Kama kuzini sio dhambi ila pombe mama weeeeee. Ujue bora mtu aseme sababu nyingine ila sio dhambi. Kwetu RC tunakunywa pombe na mapadri hamna mtu anamnyooshea kkdole mwenzake. Ila ndo mambo ya imani. Mwingine dhambi kwake mwingine sio. Tatizo hawa watakatifu sana kama kwake dhambi basi anataka kila mtu aone ni dhambi
Kumbe
Zinaa rukhsa hapo sasa
 
Mimi ni mwanamume niko mbali na mpenzi wangu kidogo sababu ya kikazi pia na ye anakazi yake nimeshtushwa na tabia ya mpenzi wangu ya kuanza kunywa pombe (beer) gafla sana hata sielewi..

Mara ya kwanza alikunywa nusu chupa akanambia alikuwa anatest tu radha kumuuliza nani kakupa akasema mfanyakazi mwenzake basi mi sikusema kitu zaidi ya kumuuliza tu unajisikiaje.

Mara ya pili alikunywa chupa 1 tu aisee sikupenda kabisa na nilimwambia mtu anae kunywa pombe ananipa sababu nianze kumchukia mana sitamwamini tena mbaya zaidi nilitumiwa na video kabisa akigonga chupa kumuuliza kwa nini umekunywa akasema amelazimishwa na bosi wake so sad.

Mara ya 3 ndo leo nimetoka zangu job nafika tu home mtoto ananipigia simu kalewa yuko njwaaaa..! hata kuongea anashindwa kumuuliza nini anasema kapiga chupa 2 za bia na amelewa balaa nikamuuliza kwa nini umekunywa akasema ana mawazo ya maisha.. na mi navyojua mambo yake yanaenda sawa kabisa binafsi mimi ni mlokole na nilishamwambia sipendi hiyo tabia ya kunywa yani mpaka hapa nishaanza kumchukia kabisa..toka mara ya pili..

Ushauri tafadhali wanaume wenzangu...! i wish to leave her serious.
Nakusihi tena nakusihi, achana nae hafai tena huyo
 
Mimi ni mwanamume niko mbali na mpenzi wangu kidogo sababu ya kikazi pia na ye anakazi yake nimeshtushwa na tabia ya mpenzi wangu ya kuanza kunywa pombe (beer) gafla sana hata sielewi..

Mara ya kwanza alikunywa nusu chupa akanambia alikuwa anatest tu radha kumuuliza nani kakupa akasema mfanyakazi mwenzake basi mi sikusema kitu zaidi ya kumuuliza tu unajisikiaje.

Mara ya pili alikunywa chupa 1 tu aisee sikupenda kabisa na nilimwambia mtu anae kunywa pombe ananipa sababu nianze kumchukia mana sitamwamini tena mbaya zaidi nilitumiwa na video kabisa akigonga chupa kumuuliza kwa nini umekunywa akasema amelazimishwa na bosi wake so sad.

Mara ya 3 ndo leo nimetoka zangu job nafika tu home mtoto ananipigia simu kalewa yuko njwaaaa..! hata kuongea anashindwa kumuuliza nini anasema kapiga chupa 2 za bia na amelewa balaa nikamuuliza kwa nini umekunywa akasema ana mawazo ya maisha.. na mi navyojua mambo yake yanaenda sawa kabisa binafsi mimi ni mlokole na nilishamwambia sipendi hiyo tabia ya kunywa yani mpaka hapa nishaanza kumchukia kabisa..toka mara ya pili..

Ushauri tafadhali wanaume wenzangu...! i wish to leave her serious.
Shubamit umeachwa tayari wewe naacha kudate na vijibinti eti anakupigia simu kalewa.
😂😂😂😂 wewe na yeye hamnazo bangi ndio zimo nyingi.
 
JF Kuna wanaume wanafiki sijapata ona,
HV humu ndani wote wake zenu hawanywi pombe kweli? Mfyuuuuuu zenu,
Humu hakuna wanawake wanywaji na wameolewa?
Huyu mtoa mada yeye kama hataki mnywa pombe , Basi atafute mwingine asiyekunywa,
ila sio muanze kutoa kashfa kwa wanawake, wanywaji wakati mnaishi nao ndani na mnakunywa pamoja na kufurahia maisha,
 
Yaani hizi chips zipigwe marufuku yaani wanaume wamekuwa nyoro nyoro sana ,sasa ndo mambo ya kuanzi sha uzi haya ,hizi korosho zitabanguliwa kweli ? Mkuu mimi binafsi naangalia mwanamke yukoje nawajua wengi wanalewa na wanajiheshimu ,na najua kukaa na mwanamke mnywaji ila sio mlevi ,ila kwa wewe umesema ni mchumba afu amejifunza pombe bila ruksa yako hivi kahaba wa hovyo huyo unapeleka wapi,mkuu mungu ana njia nyingi za kujibu maombi moja ni mwanamke kufanya amuzi kubwa bila kukushirikisha mm nshawahi acha mwanamke kwa kosa la kuchora tatoo tu,kosea ujenzi usikosee kuoa
Acha kuzunguka mkuu na kuhalalisha mabalaa, demu akishaanza pombe tu hafai. awe mnywaji awe mlevi wote wanakuwa rahisi tu kuliwa
 
Hawa wenzetu wanaojifanya wanajua dini wanachaguaga dhambi na dhambi. Zingine kwao dhambi zingine sio dhambi. Kama kuzini sio dhambi ila pombe mama weeeeee. Ujue bora mtu aseme sababu nyingine ila sio dhambi. Kwetu RC tunakunywa pombe na mapadri hamna mtu anamnyooshea kkdole mwenzake. Ila ndo mambo ya imani. Mwingine dhambi kwake mwingine sio. Tatizo hawa watakatifu sana kama kwake dhambi basi anataka kila mtu aone ni dhambi
Duu hapo nimeelewa na kujifunza kitu
 
Mkuu kuna mwenzio kamfundisha kunywa na atakua ni boss wake. Mwanamke akinywa pombe game inakua A+ na huwa anapenda kufanya na mtu anaempenda ndio maana hupendi anywe ila akilewa anakutafuta sababu anakupenda.
Lakini kwa kuwa kajifunza bila wewe na kajifunzia ukubwani atakusumbua huyo na inaonekana hupendi pombe.
Hao ndo wale bia mbili chalii mafisi wanabeba mzigo. Sasa ukute akinywa zinakimbilia chini utapigiwa mpaka akili ikukae sawa.
Bora ungemkuta kama kina mimi tayari tunakunywa unajua kabisa mwanamke wangu akinywa anakuwa na tabia hii na unajua umenifuata tayari ninakunywa.

Ushauri wa bure, wasiokunywa wapo pia mkuu usiutese moyo wako.

Ombi: Kama ambavyo hupendi pombe na zinaa uichukie hivyo hivyo.
Mzigua kwani unakunywa??
 
Back
Top Bottom