Mpenzi wangu ameanza kunywa pombe

pili, huo umbali kwa wanandoa haufai..........


kwann uishi mbali na mkeo kisa kazi? unathamini kazi kuliko ndoa? utavuna mabua ndugu!
 
Umesema ni mlokole halafu una mpenzi wa kike sio!! Bora tu uungane naye kunywa pombe maana kila mtu ana starehe zake. Wewe papuchi, yeye ngano.
 
Tayali ngoma ina kolea mdo mdo ipo siku una ludi una kuta yupo na bombadia, au bapa la nyagi siku hiyo ndo utalia kinyama
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom