mlokole huyo mkuuAchana nae ukishindwa ungana nae kunywa bia.
Jua tu kua hakuna mwanamke mlevi mwenye bwana mmoja
kasema mke au mpenzi?.....Walokole mnaruhusiwa kuwa na mpenzi?
Samahani lakini maana sijui
Soma sentensi ya kwanza kabisakasema mke au mpenzi?.....
ngoja nirudie kusoma!