Mpenzi wangu ameanza kunywa pombe

Mpenzi wangu ameanza kunywa pombe

Yaani hizi chips zipigwe marufuku yaani wanaume wamekuwa nyoro nyoro sana ,sasa ndo mambo ya kuanzi sha uzi haya ,hizi korosho zitabanguliwa kweli ? Mkuu mimi binafsi naangalia mwanamke yukoje nawajua wengi wanalewa na wanajiheshimu ,na najua kukaa na mwanamke mnywaji ila sio mlevi ,ila kwa wewe umesema ni mchumba afu amejifunza pombe bila ruksa yako hivi kahaba wa hovyo huyo unapeleka wapi,mkuu mungu ana njia nyingi za kujibu maombi moja ni mwanamke kufanya amuzi kubwa bila kukushirikisha mm nshawahi acha mwanamke kwa kosa la kuchora tatoo tu,kosea ujenzi usikosee kuoa
 
Nguruma mkuu hapo ka young devo kanakutisha unataka ukimbie mama .Test mitambo yako hapo mkemee pepo limtoke ni kajaribu tu .
 
Wewe ni mwanaume mwenzangu, ukweli ni kwamba kunajamaa anamla na inaonekana anampenda huyo jamaa kuliko wewe, pili inaonekana huyo jamaa anampiga mashine kisawa sawa,sasa akichanganya mashine na pombe atakusumbua sana.

Mtu aliyefundishwa pombe ukubwana tena na mwanaume, atakusumbua Sana,kwa kifupi Shetani kashaharibu..

Cha msingi muache Kwa sababu atakuja kukukwanza na imani yko, nenda mtafute Mwanamke mwingine otherwise uishi naye na uvumilie hayo.
Kwa sababu hata katika maisha yenu, mkitofautiana kidogo tu anapata sababu yakwenda kunywa pomba plus kutoa mzigo.. Na ukizingatia anafanya kazi na anapesa duh!! Kiburi na starehe zitamdanganya

T
 
Sasa kama una mchukia ni bora umwache kuliko kukaa na hasira moyoni
 
Back
Top Bottom