Mpenzi wangu ameanza kunywa pombe

Mpenzi wangu ameanza kunywa pombe

Wewe ni mwanaume mwenzangu, ukweli ni kwamba kunajamaa anamla na inaonekana anampenda huyo jamaa kuliko wewe, pili inaonekana huyo jamaa anampiga mashine kisawa sawa,sasa akichanganya mashine na pombe atakusumbua sana.

Mtu aliyefundishwa pombe ukubwana tena na mwanaume, atakusumbua Sana,kwa kifupi Shetani kashaharibu..

Cha msingi muache Kwa sababu atakuja kukukwanza na imani yko, nenda mtafute Mwanamke mwingine otherwise uishi naye na uvumilie hayo.
Kwa sababu hata katika maisha yenu, mkitofautiana kidogo tu anapata sababu yakwenda kunywa pomba plus kutoa mzigo.. Na ukizingatia anafanya kazi na anapesa duh!! Kiburi na starehe zitamdanganya

T
Hahaa ushauri wa wana jamii wa JF kama hauko strong unaweza kukupelekea kujinyonga ama kupata stroke
 
Yesu alikuja kwa ajili ya wenye dhambi na hata alimuokoa yule mwanamke mzinzi ambaye watu walitaka kumwadhibu kwa kumpika mawe hadi afe.
Lakini nashangaa kitu kimoja kikubwa kwa Walokole kuhusu kunywa pombe.
Nakiri kuwa walokole wanafanya sana ngono wao kwa wao,
siku moja nilimuuliza msichana mlokole ambaye alipata mimba bila kuolewa kama ametenda dhambi au la?
Alinijibu kuwa KIZAZI HUWA HAKIOKOKI.
Huyu mke wako kama ni mchaga ni lazima ataendelea kunywa tu kwa sababu hata ukienda kwa wazazi wake watakuambia usimzue kunywa pombe kwa sababu bila kunywa pombe kwa mchaga hawezi kupata damu.
Pili, Biblia imesema "wanawake ni viumbe dhaifu na mwishi nao kwa akili"
Ukishindwa kuishi na mkeo ina maaana huna akili na unapingana na Biblia.
Wewe mwanamme ndiyo mwenye makosa kuishi tofauti na mkeo kwa sababu Biblia inasema ninyi ni mwili moja.
Nakushauri ungana na mkeo mara moja vinginevyo hii ndoa itavunjika muda si mmrefu.
Kama akikataa kukufuata kule uliko ujue kuwa tayari amepata bwana mwingine bora kuliko wewe.
 
Ngoja nitoe ushuhuda hapa. Mama mmoja hapa kitaani alikuwa mlevi wa pombe. Kuna siku alikunywa pombe zikamzidia akafloat hapohapo bar. Vijana wakwale wakajitwalia na kwenda kumtumia watakavyo. Walipita katika kila tundu unalojua binadamu wa kike analo katika mwili wake.
Walipomaliza shughuli yao wakamtupa mtaa wa pili karibu na nyumba yake. Asubuhi inamkutia akiwa amelala barabarani amejinyea huku shahawa zikiwa zimesambazwa mpaka kichwani.
Mumewe alimkokota mpaka nyumbani akamwogesha vizur na kumpeleka hospitali. Yule mzee hakuongea chochote, baada ya siku mbili mama akaona aibu ile hawezi kuivumilia ikabidi arudi kwao na akaiomba talaka akiwa hukohuko nyumbani.
So mkuu kama mkeo ni mnywaji haina shida sana ila kama ni mlevi jiandae kisaikolojia na lolote.
 
Mwache shemeji anywe bia Mkuu,mbona unataka kumbania!

Wakishalewa wanakuaga siyo wasumbufu kabisa kwenye kutoa game!

Ndio maana hata bosi wake alimlazimisha!
Nadhani umenielewa!
Umeunganisha dots vyema sana mkuu... Hapo boss alikua anataka game... Akaona amlazimishe anywe pombe ili akili za mwanamke ziwe nusu nusu then amtafune.. Na kashamtafuna..
 
Sio ameanza itakuwa alikuwa anakunywa ila aliacha kwa mda m naombq mtafte mtu ambaye hanywi pombe ili msisumbuane labda yy ndo starehe yake sasa leo hii utamkatazaje
 
Hata kutongozwa. Bora mtu anitongoze nikiwa sober sio nikiwa nimelewa. Pombe zangu zinamuwazaga bby tu.
Kwamba kwenye ile statement yako wewe umejitetea kuwa ukilewa ", hauliwi kirahisi
 
Yesuu. Mama ana moyo sana. Mwingine angejiua kabisa.
Ngoja nitoe ushuhuda hapa. Mama mmoja hapa kitaani alikuwa mlevi wa pombe. Kuna siku alikunywa pombe zikamzidia akafloat hapohapo bar. Vijana wakwale wakajitwalia na kwenda kumtumia watakavyo. Walipita katika kila tundu unalojua binadamu wa kike analo katika mwili wake.
Walipomaliza shughuli yao wakamtupa mtaa wa pili karibu na nyumba yake. Asubuhi inamkutia akiwa amelala barabarani amejinyea huku shahawa zikiwa zimesambazwa mpaka kichwani.
Mumewe alimkokota mpaka nyumbani akamwogesha vizur na kumpeleka hospitali. Yule mzee hakuongea chochote, baada ya siku mbili mama akaona aibu ile hawezi kuivumilia ikabidi arudi kwao na akaiomba talaka akiwa hukohuko nyumbani.
So mkuu kama mkeo ni mnywaji haina shida sana ila kama ni mlevi jiandae kisaikolojia na lolote.
 
Back
Top Bottom