Jeni
JF-Expert Member
- Apr 23, 2008
- 200
- 12
Kwa sie wenye mashosti kuna hatari kama shiogako amekuwa akimmendea shem wake basi ah anaomba simu atume sms kwa ndugu yake kumbe anatafuta namba ya mr wako.
Kwanza ajaribu aone cha mtema kuni, ila mie nimekuta kani-save My XXL sijui ni manyama uzembe yamenizidi