mama D
JF-Expert Member
- Nov 22, 2010
- 19,763
- 35,201
haya mambo bana kama humtaki mtu heri tu umwambie......dah jina baya sana hili kumpa mtu yeyote
sasa wewe mtu mzima ulitakiwa umwambie umeshajijua weye ni kinyesi kwake ndio uondoke! kuondoka kimyakimya halafu unakuja kutuomba sisi ushauri inaonyesha wewe ni dhaifu sana
sasa wewe mtu mzima ulitakiwa umwambie umeshajijua weye ni kinyesi kwake ndio uondoke! kuondoka kimyakimya halafu unakuja kutuomba sisi ushauri inaonyesha wewe ni dhaifu sana