You're blind to your blindness. You have very little idea of how little you know.Hivi unajua kazi za DCI kweli wewe ?
Director of Criminal Investigation ?
Hawa watu wanadhani watanganyika wote ni wapumbavu....wanaweza kuwageuza vyovyote wanavyotakaAhaaaa hapa unatuambia jambo jingine pengine bila kufahamu, au umesahau au unachoma utambi
Hawa GSM si ndio wanaoshirikiana na Mkuu mmoja wa mkoa kujenga Hospitali na si ndio wanaosaidia kujenga jengo la dini moja chini ya mkuu huyo?
Au nitakuwa nimechanganya mambo!!!
Hamjamuelewa huyu Lengo la hii thread sio kuzungumzia habari za Mpemba lengo ni kumtukuza mtukufu kuwa amefanyakazi nzuri kwakumtumbua DCIHivi wote hawa hawaielewi hii unayoiita thread yako bado huoni kama Ina walakini? Samahani lakini kwa vile thread ni yako, hata Mimi naungana na wenzangu yaani nimeirudia rudia sijaambua chochote nimeamua![]()
Hapana nimemtumia mke wanguKwani wewe ulichokiandika hapa umemtumia mme wako?
Angesema tu tukampaHamjamuelewa huyu Lengo la hii thread sio kuzungumzia habari za Mpemba lengo ni kumtukuza mtukufu kuwa amefanyakazi nzuri kwakumtumbua DCI

Acha mapovuSasa ulitaka niweke maoni yako?
Kwani wewe umebadilika?
Hii ni thread yangu na nina haki ya kuandika chochote kama sivunji taratibu na sheria za Jamiiforums.
Kama unadhani hakuna lolote unaloweza kuchagia katika maoni yangu, ungesoma na kuondoka tu.
Jamiiforums has no room for dictatorial mentality.
Kwa swali hili siwezi endelea na mchango kwenye huu uzi. Asante The BossSasa kichwa cha habari ni Mpemba halafu ndani ni maoni yako tu
na hiyo habari ya mpemba haipo
na wewe mbona hubadiliki?
Kwa nn hukuijuza serikali wakati huo??Weka Wasifu wa Mpemba.Ila nadhani ni kweli DCI alikuwa anazorotesha vita dhidi ya ujangili
Siyo msemaji ni promota wa Magufuli anajezi tatu anabadilika kulingana na aina ya kiongozi aliyepo madarakani ilimradi asife njaaTatizo la huyo jamaa amejipachika cheo cha usemaji wa Magufuli...so anaweza kusema chochote ilimradi aonekane.. .hii ndio gharama ya Rais kuwa MTU wa uteuzi so kila MTU anatamani kuteuliwa
Jibu Swali unajua kazi za DCI ?You're blind to your blindness. You have very little idea of how little you know.
Hakuna jambo nililoandika bila kufahamu.Ahaaaa hapa unatuambia jambo jingine pengine bila kufahamu, au umesahau au unachoma utambi
Hawa GSM si ndio wanaoshirikiana na Mkuu mmoja wa mkoa kujenga Hospitali na si ndio wanaosaidia kujenga jengo la dini moja chini ya mkuu huyo?
Au nitakuwa nimechanganya mambo!!!
Mtu kutoka PembaHuyo mpemba ndiye nani maana nimesikia JPM mwenyewe anamtaja, tujuzane wakuu!
Umesikitisha sana kwa kutojibu hoja za thread uliyoanzisha na kuishia kutoa mapovu tu. Sio ungepumzika tu kuliko kusumbua attentions za watu.Hakuna jambo nililoandika bila kufahamu.
GSM kujenga jengo la dini moja ina uhusiano gani na thread yangu?
My friend, Corporation is an independent legal entity that is separate from the people who own, control and manage it.
Ok , hoja yako ni kuhusu home shopping uliosema 'wamejfilisi' na kuibuka kama GSMHakuna jambo nililoandika bila kufahamu.
GSM kujenga jengo la dini moja ina uhusiano gani na thread yangu?
My friend, Corporation is an independent legal entity that is separate from the people who own, control and manage it.