mzee wa mazabe
JF-Expert Member
- May 10, 2016
- 843
- 628
Sasa hapo umeongeaa mambo meengi hujaja na hoja yeyote umeandika kama umeshikiwa kisu

Sasa hapo umeongeaa mambo meengi hujaja na hoja yeyote umeandika kama umeshikiwa kisu

Mkuu;kwahiyo GSM Washakuwa halali ilhali mnajua kuwa wamejivika ngozi nyingine.Na misaada wanatoa na serikali inaipokea.Ebu nirudishie imani iliyopotea juu ya hii serikali unayoisifu kila kukicha...
hapa ni kuniacha na kizungumkuti kwa dondoo uliyoimwaga ilhali huna uelewa/ushahidi wa kina wa madai hayo....Sasa kila jambo mnaloleta mkatu assign watu tulifuatilie tutafika kweli?Mkuu;
Msaada utaupata kwa wataalam wa corporate law
Mkuu;hapa ni kuniacha na kizungumkuti kwa dondoo uliyoimwaga ilhali huna uelewa/ushahidi wa kina wa madai hayo....Sasa kila jambo mnaloleta mkatu assign watu tulifuatilie tutafika kweli?
Umeweka hekaya na udaku hakuna facts!! Mkurugenzi wa Upelelezi wa Makosa ya jinai kaingiaje? Jibu hoja kwa mifano hai usiwe too general!!Kama humfahamu mtu anayejulikana kama ''mpemba'', ingia kwenye mtandao ya NGO zinazopambana na vita vya ujangili wa nyara za serikali au subiri kesi ya ''Malkia wa pembe za ndovu''.
Watanzania wengi ni wagumu sana kubadilika!
Makamu wa Rais wa Tanzania, Mama Samia Suluhu Hassan kila siku anawambia wabadilike kwa sababu zama zimebadilika lakini wameziba masikio na hawataki kubadilika.
Ndugu yangu Diwani Athumani alikuwa anadhani ni zama zileee ambazo unaweza kuweka uzio kwa sababu ya cheo chako au ukaribu wako na Ikulu na hakuna wa kuhoji kwa nini unaweka uzio .
Huu sio muda wa kukumbatia mitandao ya kijangili na kifisadi. Zama zimebadilika sana.
Kwa nini baadhi ya watu hawajifunzi kwa Home Shopping Center ambayo baada ya kunusa hatari iliyoko mbele wakaamua kujifilisi kisheria na kuibuka huku wamevaa ngozi nyingine kibiashara inayoitwa GSM Foundation.
Rais Magufuli kila mara anawaambia kama unafahamu ulikuwa unatenda dhambi za kisiasa na kiuchumi. Huu ni muda wa kutubu na kuachana na dhambi hizo.
Vita vya nyara za serikali imemuondoa Diwani Athumani.
Kuna wengine bado wako mbioni kusombwa na mafuriko.
Basi usingeuweka kama sehemu ya mfano wako kwenye hii mada,Tambua hii ni open forum chochote utakachoweka tunahaki ya kuhoji....Binafsi sina ufahamu sana wa huo ''uchakaramu'' uliofanywa wa HSC-GSM wakati unaonekana kufahamika..Mkuu;
Unataka ushahidi upi?
Kama ni kuhusu Home Shopping Centre to GSM Foundation, Mimi sio mtaalam wa masuala ya Corporate law.
Ni Malikia wa pemba..Umezunguka sana Mkuu, wewe kuwa wazi ili wengi wamjue huyo Mpemba kwani hamna siri tena.
Punguza ukali, umekurupuka Jombaa, we missed thread context.Sasa ulitaka niweke maoni yako?
Kwani wewe umebadilika?
Hii ni thread yangu na nina haki ya kuandika chochote kama sivunji taratibu na sheria za Jamiiforums.
Kama unadhani hakuna lolote unaloweza kuchagia katika maoni yangu, ungesoma na kuondoka tu.
Jamiiforums has no room for dictatorial mentality.
Ahaaaa hapa unatuambia jambo jingine pengine bila kufahamu, au umesahau au unachoma utambi.
Kwa nini baadhi ya watu hawajifunzi kwa Home Shopping Center ambayo baada ya kunusa hatari iliyoko mbele wakaamua kujifilisi kisheria na kuibuka huku wamevaa ngozi nyingine kibiashara inayoitwa GSM Foundation.
Hivi wote hawa hawaielewi hii unayoiita thread yako bado huoni kama Ina walakini? Samahani lakini kwa vile thread ni yako, hata Mimi naungana na wenzangu yaani nimeirudia rudia sijaambua chochote nimeamuaSasa ulitaka niweke maoni yako?
Kwani wewe umebadilika?
Hii ni thread yangu na nina haki ya kuandika chochote kama sivunji taratibu na sheria za Jamiiforums.
Kama unadhani hakuna lolote unaloweza kuchagia katika maoni yangu, ungesoma na kuondoka tu.
Jamiiforums has no room for dictatorial mentality.





Sasa ulitaka niweke maoni yako?
Kwani wewe umebadilika?
Hii ni thread yangu na nina haki ya kuandika chochote kama sivunji taratibu na sheria za Jamiiforums.
Kama unadhani hakuna lolote unaloweza kuchagia katika maoni yangu, ungesoma na kuondoka tu.
Jamiiforums has no room for dictatorial mentality.
Ni boss wa biashara haramu ya pembe za ndovu tanzaniaHuyo mpemba ndiye nani maana nimesikia JPM mwenyewe anamtaja, tujuzane wakuu!
Mbona kamutaja kuwa ni Hassanoo, katibu wa zamani wa Simba. Na kuwa alifikishwa mahakama ya Kisutu mwaka 2012 kwa kesi ya kuuza meno ya tembo Hongkong ya thamani ya zaidi ya billion 1 ya Tshs. Kesi hiyo hadi sasa upelelezi haujaisha na Mpemba anaendelea na biashara yake ya meno.Umezunguka sana Mkuu, wewe kuwa wazi ili wengi wamjue huyo Mpemba kwani hamna siri tena.