Elections 2010 MPANGO mbaya dhidi ya kura......

Msanii

Platinum Member
Jul 4, 2007
22,603
29,748
Wanajukwaa,
Kwa kuwa CCM sasa ipo ktk mkakati wa ndani zaidi kuangalia how to win KWA lazima, nimepata MADHANIA kwamba, kwa kuwa watanzania wanahisi CCM inaweza kuiba kura, wanaweza kuja na mkakati wa kuiba kura na kuzitupia ktk vyama vingine vya upinzania ili ionekane wamegawana kura na CCM wamepita kwa ushindi mwembamba. STUKA

Nimeongea KIJERUMANI hapo
 
Wanajukwaa,
Kwa kuwa CCM sasa ipo ktk mkakati wa ndani zaidi kuangalia how to win KWA lazima, nimepata MADHANIA kwamba, kwa kuwa watanzania wanahisi CCM inaweza kuiba kura, wanaweza kuja na mkakati wa kuiba kura na kuzitupia ktk vyama vingine vya upinzania ili ionekane wamegawana kura na CCM wamepita kwa ushindi mwembamba. STUKA

Nimeongea KIJERUMANI hapo

Umeongea Kiswahili, ngoja nami nitafakari uwezekano wa mkakati kama huu kutekelezwa!
 
Wanajukwaa,
Kwa kuwa CCM sasa ipo ktk mkakati wa ndani zaidi kuangalia how to win KWA lazima, nimepata MADHANIA kwamba, kwa kuwa watanzania wanahisi CCM inaweza kuiba kura, wanaweza kuja na mkakati wa kuiba kura na kuzitupia ktk vyama vingine vya upinzania ili ionekane wamegawana kura na CCM wamepita kwa ushindi mwembamba. STUKA

Nimeongea KIJERUMANI hapo
Kama nimekuelewa hivi:confused2:
 
Siyo siri kwamba hali ya KISIASA ndani ya Chama tawala ni tete. kumekuwa na juhudi na mipango ya kila namna kuhakikisha kwamba jahazi halizami. Dhumuni la thread hii ni kujaribu kuvumbua kama si kuumbua mbinu za mwishoni ambazo CCM wanaweza kuzitumia ili kuponea tundu la sindano. Mbinu hizi zianze kuzungumzwa publicly ili zivunjwe nguvu na zisitumike tena.

Nimehisi kwamba CCM wamepanga jambo kubwa linalokuja mbeleni siku chache kabla ya KURA kubadili hisia na kuwini favor za wananchi. Inawezekana baadhi ya visiki ndani ya chama tawala kung'olewa dakika za mwisho, kupoteza majimbo machache si hasara kama kupoteza urais. Serikali inaweza kuwaweka kikaangoni baadhi ya watendaji waliotikisa headings kwa ufisadi ili ionekane kwamba kuna mapambano endelevu (why now?).

NB
nimesoma kwamba TAKOKURU wanamchunguza Mrema wa SUMATRA na anytime watafikisha mtu mahakamani. (mtaji wa dakika za mwisho)

je unawaza nini? watakuja na mbinu gani?
 
Kama nimekuelewa hivi:confused2:
Nimetoa ujumbe wa kinabii hapo shekhe.
kuna mambo mengine si kuyasubiri yatokee. dawa ni kubwabwaja yale yenye kuleta tija ili wenye uwezo wachukue hatua
 
Ngoja nivunje ukimya kwenye hii thread. Mkuu supporters wa upizani (na labda vyama vya upinzani vyenyewe) haswa mwaka huu wana nishangaza sana. They are so confident kwamba wata shinda lakini at the same time wamesha andaa defense mechanism ya kwamba wata zulumiwa. In short kwao uchaguzi kuwa huru na haki ni wao tu kushindwa ila wakishindwa basi wame fanyiwa foul.

Mkuu kama upinzani ikishinda ita kuwa very obvious na wala CCM hawata weza kuficha. Kwa mfano nasikia apparently polls nyingi zina mpa Dr. Slaa around 65-75%. Tanzania mtu kushinda uraisi ana hitaji 50%+1 kushinda. Sasa kama Dr. Slaa ana pewa chance kubwa hivyo ya kushinda assuming ana pata kura idadi hiyo CCM wata ziibaje na kuzi punguza mpaka ziwe chini ya 50%+1?

Kuna mtu mmoja alisha wahi kusemaga "In Africa elections are only free and fair when the opposition wins". Hii ni demokrasia mkuu. Msi tangaze ushindi wa kishindo lakini at the same time mna kimbilia kusema kura zitaibiwa. Wengine wana jiuliza kama nchi ita kalika CCM ikishindwa mimi najiuliza kama hali ita kuwa tulivu kama upinzani ukishinda.


Well nime fungua mkuu na kwa ufunguzi huu I guarantee thread yako ita pata replies nyingi. Na mimi ngoja nijitetee mapema nisema nasubiria kukaangwa na mashabiki wa raisi mteule Dr. W. Slaa.
 
Nimetoa ujumbe wa kinabii hapo shekhe.
kuna mambo mengine si kuyasubiri yatokee. dawa ni kubwabwaja yale yenye kuleta tija ili wenye uwezo wachukue hatua
Kuna Mtu atakufa kweli nini kama anavyosema mganga wa JK... :confused2:
 
Ngoja nivunje ukimya kwenye hii thread. Mkuu supporters wa upizani (na labda vyama vya upinzani vyenyewe) haswa mwaka huu wana nishangaza sana. They are so confident kwamba wata shinda lakini at the same time wamesha andaa defense mechanism ya kwamba wata zulumiwa. In short kwao uchaguzi kuwa huru na haki ni wao tu kushindwa ila wakishindwa basi wame fanyiwa foul.

Mkuu kama upinzani ikishinda ita kuwa very obvious na wala CCM hawata weza kuficha. Kwa mfano nasikia apparently polls nyingi zina mpa Dr. Slaa around 65-75%. Tanzania mtu kushinda uraisi ana hitaji 50%+1 kushinda. Sasa kama Dr. Slaa ana pewa chance kubwa hivyo ya kushinda assuming ana pata kura idadi hiyo CCM wata ziibaje na kuzi punguza mpaka ziwe chini ya 50%+1?

Kuna mtu mmoja alisha wahi kusemaga "In Africa elections are only free and fair when the opposition wins". Hii ni demokrasia mkuu. Msi tangaze ushindi wa kishindo lakini at the same time mna kimbilia kusema kura zitaibiwa. Wengine wana jiuliza kama nchi ita kalika CCM ikishindwa mimi najiuliza kama hali ita kuwa tulivu kama upinzani ukishinda.


Well nime fungua mkuu na kwa ufunguzi huu I guarantee thread yako ita pata replies nyingi. Na mimi ngoja nijitetee mapema nisema nasubiria kukaangwa na mashabiki wa raisi mteule Dr. W. Slaa.

Ukaangwe kwani umekuwa ubuyu!!??
 
Ngoja nivunje ukimya kwenye hii thread. Mkuu supporters wa upizani (na labda vyama vya upinzani vyenyewe) haswa mwaka huu wana nishangaza sana. They are so confident kwamba wata shinda lakini at the same time wamesha andaa defense mechanism ya kwamba wata zulumiwa. In short kwao uchaguzi kuwa huru na haki ni wao tu kushindwa ila wakishindwa basi wame fanyiwa foul.

Mkuu kama upinzani ikishinda ita kuwa very obvious na wala CCM hawata weza kuficha. Kwa mfano nasikia apparently polls nyingi zina mpa Dr. Slaa around 65-75%. Tanzania mtu kushinda uraisi ana hitaji 50%+1 kushinda. Sasa kama Dr. Slaa ana pewa chance kubwa hivyo ya kushinda assuming ana pata kura idadi hiyo CCM wata ziibaje na kuzi punguza mpaka ziwe chini ya 50%+1?

Kuna mtu mmoja alisha wahi kusemaga "In Africa elections are only free and fair when the opposition wins". Hii ni demokrasia mkuu. Msi tangaze ushindi wa kishindo lakini at the same time mna kimbilia kusema kura zitaibiwa. Wengine wana jiuliza kama nchi ita kalika CCM ikishindwa mimi najiuliza kama hali ita kuwa tulivu kama upinzani ukishinda.


Well nime fungua mkuu na kwa ufunguzi huu I guarantee thread yako ita pata replies nyingi. Na mimi ngoja nijitetee mapema nisema nasubiria kukaangwa na mashabiki wa raisi mteule Dr. W. Slaa.
Usihofu
mchango wako muhimu sana shekhe. ila kama ninavyosema kwamba uzoefu unaonesha kwamba bila WIZI wa kura hakuna ushindi kwa CCM. hivyo kama wameuza nchi, wanakumbatia MAJAMBAZI, wanaua watu, wanakausha hazina na kadhalika. usitarajie kuwa mtakuwa waungwana kuachia kijiti ilhali mnajua mna kesi ya kujibu ndo maana hata midahalo mmeingia chaka
 
Mmejiandaa kuwalipa mawakala wenu fedha ya uhakika ili wasirubuniwe na CCM?!

Coz nnavyojua mara nyingi kura hubadilishwa usiku wakati wa kuhesabu, kwa wawakilishi wa vyama vya upinzani kupewa hongo halafu matokeo yanabadilishwa.

Mmeandaa fungu la kutosha kuwalipa hao mawakala?!
 
Mmejiandaa kuwalipa mawakala wenu fedha ya uhakika ili wasirubuniwe na CCM?!

Coz nnavyojua mara nyingi kura hubadilishwa usiku wakati wa kuhesabu, kwa wawakilishi wa vyama vya upinzani kupewa hongo halafu matokeo yanabadilishwa.

Mmeandaa fungu la kutosha kuwalipa hao mawakala?!
...kwa hiyo mmewaweka kwenye bajeti yenu?
mtawapa fedha lakini sisi tupo migongoni mwenu tutafichua kila kitu
 
chanzo cha wizi wa kura ni njaa na weledi mdogo ya mawakala juu ya dhamana wanayopewa ya kulinda haki za kikatiba za watanzania through freedom of choosing the leader they want

Mawakala wakielewa dhamana waliyonayo, basi maisha yatakua mazuri
 
Ndugu Mwanafalsafa.
Ikiwa patakuwa na uwanja sawa wa kuchezea mtu akifungwa na akilalamika hata dhamira yake itamsuta.
Kwa jinsi ambavyo tumeona ni kuwa uwanja si sawa na hii inatoa nafasi kwa wapinzani kulalamika na siajabu kundi kubwa la watu lika sympathize nao.
Tumeshuhudia mali ya umma ikitumika kwa chama kimoja,tumeona upendeleo wa wazi kwenye vyombo vya umma vya kutoa habari,tumeshuhudia mgombea mmoja akiongeza saa za kampeni.Billioni za kununua mahindi zimetolewa kipindi hiki wakati kilio kimekuwa cha muda mrefu na mengine mengi yanayoashiria ya kuwa iwe iweje ni lazima chama fulani kishinde.
Nakuhakikishia kuwa wakitokea watu watatu tu jasiri kama Mtikila na wakafugua kesi mbili tu si ajabu tukaurudia uchaguzi karibuni na nchi ikayumba si kwa kujiuzulu PM lakini Rais.
CCM wantakiwa wajitahidi wapate ushindi usiokuwa na matope lakini hili haliwezekani kwa watu wa calibre ta Makamba,Tambwe Hiza,Kinana RA na wengineo.
Naamini (ingawa naomba Mungu aepushie mbali) mwaka zitatokea vurugu katika ngazi za majimbo ya ubunge.
 
Siyo siri kwamba hali ya KISIASA ndani ya Chama twawala ni tete. kumekuwa na juhudi na mipango ya kila namna kuhakikisha kwamba jahazi halizami. Dhumuni la thread hii ni kujaribu kuvumbua kama si kuumbua mbinu za mwishoni ambazo CCM wanaweza kuzitumia ili kuponea tundu la sindano. Mbinu hizi zianze kuzungumzwa publicly ili zivunjwe nguvu na zisitumike tena.

Nimehisi kwamba CCM wamepanga jambo kubwa linalokuja mbeleni siku chache kabla ya KURA kubadili hisia na kuwini favor za wananchi. Inawezekana baadhi ya visiki ndani ya chama tawala kung'olewa dakika za mwisho, kupoteza majimbo machache si hasara kama kupoteza urais. Serikali inaweza kuwaweka kikaangoni baadhi ya watendaji waliotikisa headings kwa ufisadi ili ionekane kwamba kuna mapambano endelevu (why now?).

NB
nimesoma kwamba TAKOKURU wanamchunguza Mrema wa SUMATRA na anytime watafikisha mtu mahakamani. (mtaji wa dakika za mwisho)

je unawaza nini? watakuja na mbinu gani?

Nimesahihisa kidogo hapo juu (red)
 
Mwanafalsafa1, CCM tunawajua ni wabunifu sana kwenye mambo maovu, kuna mwana JF alitufahamisha kwamba baadhi ya makontena ya vibox vya kura baada ya kutoka bandarini yaliwekwa kwenye godown ya muhindi na mengine yakapelekwa bohari kuu. Sasa kwa nini tusianze kuwa na wasiwasi?
 
Mmejiandaa kuwalipa mawakala wenu fedha ya uhakika ili wasirubuniwe na CCM?!

Coz nnavyojua mara nyingi kura hubadilishwa usiku wakati wa kuhesabu, kwa wawakilishi wa vyama vya upinzani kupewa hongo halafu matokeo yanabadilishwa.

Mmeandaa fungu la kutosha kuwalipa hao mawakala?!

You have a point comrade; Ni kwamba fungu linatakiwa siku hiyo mawakala wasilie njaa.Imewahi kutokea huko nyuma mawakala walikuwa hawana hata senti ya kununua kiloba cha maji uhai-kwa sasa maji hayo hayapo-
Mawakala wanatakiwa kuwa na mishiko ya kuwatosha kupata chai asubuhi, cha mchana na usiku kwa muda wote hadi matokeo yatoke.Chadema wanatakiwa waweke fungu la kutosha ni bora chama kifirisike lakini mawakala walipwe kwani the accrued benefit is material kwa kuwa kupata wabunge wengi ni kupata ruzuku nene.
Ni muda mzuri wa kuwekeza katika mawakala kwani uwekezaji huo unafaida.

Jukumu la wapiga kura kukaa mita 100 na kulinda kura ni agenda namba mbili.
Nawasilisha
 
Usihofu
mchango wako muhimu sana shekhe. ila kama ninavyosema kwamba uzoefu unaonesha kwamba bila WIZI wa kura hakuna ushindi kwa CCM. hivyo kama wameuza nchi, wanakumbatia MAJAMBAZI, wanaua watu, wanakausha hazina na kadhalika. usitarajie kuwa mtakuwa waungwana kuachia kijiti ilhali mnajua mna kesi ya kujibu ndo maana hata midahalo mmeingia chaka

Kwa mawazo yangu nashauri nasi tuwaibie mwaka huu. Maadam wao wamejiandaa kuiba nasi tujiandae kuiba!:confused2:
 
Back
Top Bottom