Mpangilio wako wa pesa ukoje?

Mpangilio wako wa pesa ukoje?

Mi sina mpangilio kwakweli na nimejaribuuuu ila wapiiiii.

Mwisho nikaamua niweke jitihada maeneo mawili tu kufanya savings na kutenga kiasi kidogo kila mwezi ya kujispoil baaaass.

Bro umesema una mimba?

Kuna watu automatically wanajua kusave

Hiyo jitihada uliyoianza nayo ni nzuri braza

Braza mimba naitolea wapi na hizi kende? Tuheshimiane basi bro
 
Yeah kuna watu Wana kalama halafu kuna kijifunza pia.

Nlijua umekata kende kama dayon

Mimi nilikuwa mtu wa kusave sana bila shida...wakaniroga siku hizi natumia hela kinyama,nipo kwenye zile hatua hadi nikienda saluni natoa tip kwa msusi,natoa tip kwa mpaka rangi kucha hadi nikipanda bolt 😥

Siwezi kuaga mashindano bro
 
Mimi nilikuwa mtu wa kusave sana bila shida...wakaniroga siku hizi natumia hela kinyama,nipo kwenye zile hatua hadi nikienda saluni natoa tip kwa msusi,natoa tip kwa mpaka rangi kucha hadi nikipanda bolt 😥

Siwezi kuaga mashindano bro
Tip sio mbaya bro mbaya kutapanya, matumizi ya ovyo kununua vitu ambavyo hata havikua katika plans
 
Kama umewahi kupitia misumu tofauti tofauti; kipindi cha kiangazi kina mafunzo mengi. Akiba ni muhimu sana
 
😂😂😂
Nipe matumizi yako King Kong III niruke nayo kama yatanifaa
Mimi kama mimi sina matumizi makubwa sana ,kwa siku natumia around elfu 2 hadi 5 maana najipikia mwenyewe porini huku ,nanunua unga.mchele,mafuta ya kutumia mwezi mzima,so hapa kati kati ni kununua vitu vidogo vidogo tu vya kuweza kukamilisha mipiko.

Ila kwa nyumbani bajeti ya siku huwa elfu 15 lakini ndani wana kila kitu ,kwahiyo elfu 15 ni kununua vitu vidog vidogo ambayo haviwezi kukaa wiki kama ndizi za kuiva ,mboga za majani etc
 
Mimi kama mimi sina matumizi makubwa sana ,kwa siku natumia around elfu 2 hadi 5 maana najipikia mwenyewe porini huku ,nanunua unga.mchele,mafuta ya kutumia mwezi mzima,so hapa kati kati ni kununua vitu vidogo vidogo tu vya kuweza kukamilisha mipiko.

Ila kwa nyumbani bajeti ya siku huwa elfu 15 lakini ndani wana kila kitu ,kwahiyo elfu 15 ni kununua vitu vidog vidogo ambayo haviwezi kukaa wiki kama ndizi za kuiva ,mboga za majani etc

Kutumia 5K kwa siku unajitahidi sana mkuu
 
Mtu anaweza kuamini kweli ni KKB ujue
Ni kweli nimemaliza chuo mwaka Jana mwaka huu nimemaliza Supp yangu nimegraduate ramsi mwaka huu , sasa ni degree holder inayotembea mtaani form 4 nilimaliza 2018 .

Nikiwa nyumbani nagombania remote na watoto sebuleni , jamaa yangu Maghayo loose Nut nimeMD anipe mchongo niende Ulaya hajibu text zangu .
 
Back
Top Bottom