Mpangilio wako wa pesa ukoje?

Mpangilio wako wa pesa ukoje?

Naweka kwenye kalenda tu kila kitu
Mwisho wa mwaka naangalia salio

Hii ya kuangalia salio mwisho wa mwaka kwa mtu mwenye matumizi ya hovyo anaweza kujikuta analia
 
Mpangilio gani tena tumeambiwa dunia tunapita na tutumie pesa ituzoee sasa kula maisha utakuja kupata presha na vidonda vya tumbo kwa kujibana sana et oh nipo najenga yan nishindwe kupiga hata henken zangu mbili au tatu kisa kujenga huko vp chagua duka moja hapo kitaa kununua vitu vyako itakuwa rahisi kukopesheka hata ukiwa huna kitu

mwaibile kama mwaibile
 
Hey people,

Title inajielezea,msinifokee nina mimba changa bado, huu ni muendelezo wa uzi 👇


Uzi bado
Hongera mkuu😃

Hii ya kuangalia salio mwisho wa mwaka kwa mtu mwenye matumizi ya hovyo anaweza kujikuta analia
me sina mpangilio naponda Mali tu kufa kwaja...
 
Mi kila nikipangilia hela naona kama napangwa mimi.
Kwanza hela zenyewe zinakuja bila mpangilio!
 
Ngoja kwanza nitafute hizo Pesa,
Nikizipata nitarudi kuchangia huu uzi,

Moderator tafadhali msifute huu uzi.
 
Mi sina mpangilio kwakweli na nimejaribuuuu ila wapiiiii.

Mwisho nikaamua niweke jitihada maeneo mawili tu kufanya savings na kutenga kiasi kidogo kila mwezi ya kujispoil baaaass.

Bro umesema una mimba?
 
Hey people,

Title inajielezea,msinifokee nina mimba changa bado, huu ni muendelezo wa uzi 👇


Uzi bado
Nikijipata nitaanza kutafuta uzi wako na kupitia kwa makini kuchukua madini , sasa sina hata hela ya kupanga bajeti status yangu ni KKB (Kula Kulala Kwa Baba )
 
Back
Top Bottom