STRUGGLE MAN
JF-Expert Member
- May 31, 2018
- 8,633
- 16,599
😂😂😂 Inafika mahali inabidi useme basi inatosha! Maisha yenyewe hayahaya..😂 😂 eti peleka drama somewhere else..!
they say, don't mess up with a woman who already knows her worthiness!!
Mi nipo tayar kulipiziwa kisasiHuyu huyu ndio kisasi kitamfaa
Mwingine hajanitendea mabaya
Nashukuru sana, ofcoz ndio kilichobakiNyumbani waambie alikufa kwenye mafuriko ya daslama. Hasira zote peleka kwenye kusaka hela, hapo utakua umemkomoa barabara! Abaki tu kukusema unadanga as if nae kodangio hana
Sent using Jamii Forums mobile app
Uzuri ni kuwa when we say it's over we real mean it.!!😂😂😂 Inafika mahali inabidi useme basi inatosha! Maisha yenyewe hayahaya..
Bado mkuu.!
Ndiyo Hunyu alitaka nikabidhi funguo hapa.!
Ahsante mkuuWewe endelea na mambo yako...fanya kama ulitoa sadaja kimasikhara
Sent using Jamii Forums mobile app