Mpaka sasa sijui sababu ya kuachwa

Mpaka sasa sijui sababu ya kuachwa

Mama yangu mdogo alimuamini baba mdogo kwa vigezo kama vyako ila leo ameisha juta na wametengana.

Wanawake mnaweza kuwa mnakosea.

umri haujawahi kumtuliza mwanaume lijali, bali wasio lijari au lijali waliokuwa commited.

Find a commited real man or an impotent one

Sent using Jamii Forums mobile app


Find a commited real man or an impotent one
Mstari huu nimeuelewa mkuu
Je m'mdogo alikaa na baba kwa muda gani !!
 
Sijui tuu , lakn wazo la kwenda kwao sioni kama ni sahihi sababu mazingira yake na yangu hayapo sawa tena
Huo pia ni ushauri mzuri uzingatie.
Unaweza kukuta huko yuko na wife wake.
Vipi msibani ulikwenda?

God save us
 
Surely.
Nina mchumba wangu sifichi kanisapoti sana financial, Mwezi huu tunafunga ndoa. Nae kunakitu anakwama..kila wakati anakumbusha pesa alizonisaidia. Mara dear unakumbuka ile ela flan. Mara dear unajua mwnzio musa kagharamikia kila kitu yeye kwa mchumba wake.

Kufupisha tu hadithi nikamwambia tukimaliza issue ya ndoa ntakulipa, Full stop. Wadada fuaten ushauri wa mwanamke mwenzenu.

Sweetlee
Kama ulikopa lipa deni
Kama uliomba msaada, basi ana matatizo huyo

God save us
 
Tunao uwezo wa kuishi na mwanamke asiyekuwa na kazi miaka yote ya kuishi pamoja ila mwanamke kuishi na mwanaume kwa mwezi mmoja akiwa hana kazi, dunia nzima itajua.
 
Habari zenu wakuu

Nimevumilia ila nimeshindwa nahitaji msaada wenu huyu baharia mzee nimfanye nini .
Maana aliyonifanyia nahisi hata nikisema ni move on sitaweza natamani na mie nimfanyie kitu cha aibu na fedheha kama alivyofanya kwetu

Uhusiano wangu na huyu baba umedumu kwa mwaka mmoja na miezi kadhaa. Na tulivyokua pamoja tulipanga mengi kwa muda mfupi ili hata huko mbeleni kila mmoja aweze kusimamia majukumu yake kama baba au mama

Alinitamanisha tufanye biashara pamoja hivyo na yeye awe msimamizi wangu. Sikua na hela ya kutosha ikanibidi niongee na mama nikamuelezea kila kitu akanipatia pesa, nikampa baharia apige kazi.

Hapo sikua na wasiwasi maana jamaa ni mtu wa dini, kanizidi miaka mingi na pia anajiweza kwa biashara zake na nyumbani tayari anajulikana kama mtarajiwa

Mwezi wa sita mwaka huu alifiwa na mama yake tukaenda kuzika ila arobaini mie sikuweza kwenda.
Hatukukaa sawa akafiwa na babu yake mzaa mama yake.

Basi tangu hapo mawasiliano yamekua ya shida maana mwenzangu alikua hafanyi chochote cha kuingiza pesa. Kila siku ananiomba nimtumie pesa. Nikamuuliza hivi kama tungekua tunaishi pamoja na tuna watoto ingekuaje kama wewe hutaki kujishughulisha. kwamba tangu mwezi wa sita mpaka leo bado unaomboleza tu? Basi akawa kimya ukimpigia anasema alikua busy na shughuli za nyumbani na kama siamini nimpigie shangazi yake.

Sasa hivi mimi na yeye tumeachana kwa sababu ambazo hazieleweki maana hata nikimpigia simu tuongee yetu mimi na yeye hataki tuongee. Mwezi sasa hakuna meseji wala simu kupigiana.

Sasa mie nawaza nifanye kitu gani aumie zaidi yangu kwa maana kama kunila kanila sana, kuanzia kipochi manyoya mpka kipochi mapesa. Nyumbani ndio hivyo nimeshamtambulisha yeye na sasa hivi hata nikiulizwa sina la kujibu

Naombeni msaada wa mawazo nifanye kitu gani na yye ahisi maumivu ninayoyapata.

Shukrani

MICHANGO YA WADAU:

=====

====

=====

=====

=====

=====
Huyo hajakuumiza mi nikiacha mwanamke huwa namuacha na matusi juu. Asa kumbe kakuomba tu pesa afu unalaumu
 
Back
Top Bottom