Shukrani sana mkuu Yakobo,Wewe dada nimekupenda , una mapoint sana , yaani mtu hasipokuelewa duh!!
Sent using Jamii Forums mobile app
kuna msichana tena yeye alikuwa denti bado wa chuo nilikuwa naishi nae kwangu kama mke na mme, kwa mda wa 2yrs mpka tukatambulishana kwa wazazi wake nilkujaga kuona ushenzi mmoja kutoka kwake nikamtupia virago familia yake pamoja na kuniomba sana msamaha niliishia kumla tena halafu nikaoa mwingine...Kitu gani baharia
Hajaweka wazi.....na atakuwa kaliwa maana wanatafuta ndoa kwa nguvu zote
Nimekuelewakuna msichana tena yeye alikuwa denti bado wa chuo nilikuwa naishi nae kwangu kama mke na mme, kwa mda wa 2yrs mpka tukatambulishana kwa wazazi wake nilkujaga kuona ushenzi mmoja kutoka kwake nikamtupia virago familia yake pamoja na kuniomba sana msamaha niliishia kumla tena halafu nikaoa mwingine...
baharia hawezi kukimbia bila sababu
Ni ngumu sana ku match na mwenza wako, kupata pea yako, hivyo unachokiona mwenzio hakioni, hanachokiona mwenzio wewe hukioni, ina maana kuwa huyo sio Mungu aliyekupangia, best revenge is to move on as sweetlee said above, on the way utapata wa kufanana nawe, you have a time.Sikua cash madam, ila nilijua yeye ndio mwenzangu na matatizo hayana mmoja
Leo kwake kesho kwangu hivyo nilikua najidhiki nilichonacho nampa ili tufichiane aibu ndogondogo
Shukrani sana mkuu..!!We mdada inaonesha umekomaa kiakili safi sana na Hongera kwa madini haya uliyotema.
Naomba uje PM tuunde urafiki wa faida kama hutojali
n.b: mimi nimeoa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni ngumu ndio... ndio maana wamesema " a strong woman".Easy said than done
Story of my life.!!Ni ngumu ndio... ndio maana wamesema " a strong woman".
Wengi wetu hatuwezi, tupo weak tukibembelezwa kidogo tunasamehe, halafu kosa linajirudia tena na tena...
Ila ukishakinai na kusema sasa nimechoka basi...
Hapo hamna mtu anakubabaisha kijinga tena (You become strong from Past experiences)
Ahsante NjopinoNi ngumu sana ku match na mwenza wako, kupata pea yako, hivyo unachokiona mwenzio hakioni, hanachokiona mwenzio wewe hukioni, ina maana kuwa huyo sio Mungu aliyekupangia, best revenge is to move on as sweetlee said above, on the way utapata wa kufanana nawe, you have a time.
Wenye broken wanasema
If you prepare for revenge, prepare two graves.
Ahahahahaha..pole sana...not neccesary kuandikishiana mana ulishakolezwa ukakolea but atleast u could play ur cards well..unacheza kwa step.Yaan unahaki ya kucheka 😁😁 .yaan sa hivi baada ya kugeukwa ndio najiona boyaa
Maana hatukuandikishana
We acha tu! Sasa hivi I think of Me first! My happiness comes first! Either you join me to be happy or peleka drama somewhere else...😀Story of my life.!!
😂 😂 eti peleka drama somewhere else..!We acha tu! Sasa hivi I think of Me first! My happiness comes first! Either you join me to be happy or peleka drama somewhere else...😀