ShesRise_1
JF-Expert Member
- Aug 21, 2025
- 17,150
- 40,482
Nipo tu apa nakuwaza wewe tuuKawaida usiku huchukuliwa kama muda wa mapumziko muda wa kuipumzisha akili na ubongo ambao pengine umefanya kazi kutwa nzima
Ukiacha wale wenye shift za usiku madaktari, wauguzi, walinzi, na wengine ambao kwao muda huu ndio kama kumekucha
Lakini kama wewe haupo kwenye kundi hilo halafu mpaka sasa bado huna usingizi
who are you my friend? π
ShesRise_1 π΄
Aisee watu tuna lala sa 10 tunaamka sa 12πNgoja nilale najijua mimi mvivu kuamka asubuhi. Uwe na usiku mwema rafiki.
Yaan unataka kusema unalala saa 9 halafu unaamka saa 10 au sio sasa hapo unakua umelala nini?Aisee watu tuna lala sa 10 tunaamka sa 12π
Lala unono bro
Unawaza nini tena ?Nipo tu apa nakuwaza wewe tuu
Huyo kipenzi yupo wapi tenaπ³Kipenzi tumegongana uso kwa usoπ
Anakua ameonja hajalalaπ€£π€£Yaan unataka kusema unalala saa 9 halafu unaamka saa 10 au sio sasa hapo unakua umelala nini?
Watu wanataka kulala ila mwili hautaki nduguYaan unataka kusema unalala saa 9 halafu unaamka saa 10 au sio sasa hapo unakua umelala nini?
Sijakuelewa mwili hautaki nini au umelala juu ya kunguni?Watu wanataka kulala ila mwili hautaki ndugu
Wewe si mpare na mimi ni mchaga?Huyo kipenzi yupo wapi tenaπ³
Hahaha anakua ameonja usingizi au sio?Anakua ameonja hajalalaπ€£π€£
Ipo waziHahaha anakua ameonja usingizi au sio?
Siwezo pato usingizo mudo woto nakuwozo wewo sijuo kwa ninoUnawaza nini tena ?
Hebu jinu swali who are you mpka sasa hujalala ?
Hapana hivi unajua baadhi ya watu wana changamoto ya kukosa usingizi hujawahi kusikia ?Sijakuelewa mwili hautaki nini au umelala juu ya kunguni?
Yaan sitaki mtu wa kaskazini nataka kuchanganya mbeguπ πWewe si mpare na mimi ni mchaga?
Aseme tu yupo single alafu hana mrina asali ππSema huna usingizi acha mbambamba! π