moyo wangu unavuja damu


bottom line
kusamehe kama haitoki moyoni
sio lazima
 
Na hutaamini atakupiga chini ahamie mtaa wa pili na mwanafunzi wa CBE ama Ustawi! Yaani haifai kuuza utu wako for any who! Ggghhhrrr!
LIWALO NA LIWE!source PM wenu!
 
Baba, umeshasahau scandal ya Marie Stopes hospital ya mwenge? Mjamzito alitaka kubakwa na mpiga ultra sound? Baada ya ile scandal rafiki yangu wa karibu sana alinisimulia kuwa na yeye aliwahi kupigwa ultra sound hapo na kulikuwa na 'excessive touching'. Zipo sana, huwa staki kuwaza wanachotufanya wakati wa operesheni aisee!
Nahisi kama umewadhalilisha Madaktari wetu kwa kiwango cha juu sana......
Hivi kweli madaktari wetu, hawa hawa ninaowajua, hivi kweli jamani........................!
 
operation jitahidi mwenza aingie.

Hospital zetu ziko too 'corrupted'

hata asipobaka mtoto unaweza pewa wa kichina.

 
Usani tuu. In real life huwa ni tofauti.
 
hii ni ishu nyingine asipopona.
Basi daktari atakuwa kala kwako na wewe umeliwa bure.

Sasa hiyo uitamke kabla ya kumvulia pichu daktari, sio saa ya kuachwa! Una guarantee hata hiyo operesheni atapona? Daktari ndio Mungu? Akhuuu!
 
Hayo mambo ya ultra sound nilishampiga maroufouk mama yenu na kama ni matibabu nampeleka hospitai ya Wairan pale Mikocheni maana pale mwanamke anatibiwa na daktari mwanamke na mwanaume anatibiwa na daktari mwanaume.... Chezea Mtambuzi weye.. madaktari wa bongo watamsikia mama Ngina hapa hapa JF..... ujinga uwatoke
 
Story nzuri sana nimeipenda inafundisha.

Asante snowhite
 
Hahhahaha! Unajua wivu wa hivi ni dalili ya uzee? Mie dr lazma kwanza awe handsome afu kijana, mzee mzee simtaki anatetemeka mikono. Lol!
 
haya tunayasema sasa kwa sababu hatuna tatizo na hatuko kwenye hamaki.

Nampatia picha huyo mwenye mume hana kitu na dokta anampa altimatamu, weeee.

Sisemi sana, lakini . . . .

Hiyo operesheni una uhakika atapona hadi ujiuze? Short cut is the longest route!
 
nimejifunza mwanamke hutakiwi kuwa golikipa
yaani hata shilingi ya soda umtegemee mumeo?

nimefungua hii thread now, haya majibu uliyotoa kama ulinisoma...ugoalkeeper sio kabisa, brings more harm than good.
 

Afadhali umesema umedesa!

Huo wimbo nimeusikia, ila ni story ya kusikitisha,

Lakini mimi nauona unajenga taswira mbaya kwa madaktari kana kwamba wao hawana utu, wanachojali ni kitu kidogo na pengine hata rushwa ya ngono

Na kitu cha kushangaza taswira nyingine ninayoipata ni kuwa madaktari ni mahodari wa kuhimiza matumizi ya kondomu wakati wao hawatumii, kama katia mtu mimba is more likely kuambukiza au kuambukizwa UKIMWI.
 
apart from alichosema The Boss, another lesson I get from here ni kwamba,desperate moments call for desperate measures...
 
haya tunayasema sasa kwa sababu hatuna tatizo na hatuko kwenye hamaki.

Nampatia picha huyo mwenye mume hana kitu na dokta anampa altimatamu, weeee.

Sisemi sana, lakini . . . .

Mie nimeshajijengea attitude ya emergency preparedness and response plan yangu. So ikitokea at least dhamira yangu itaniambia 'you are better than tjis king'asti. This too shall pass, think like you always do baby, THINKI!!!!!'. Hapo hapo akili ya bhange itastuka. Usijiandae kufeli aisee, ni dhambi kwanza. Mwili wako hauwezi kuwa dirisha la kukimbia jaribu.
Ngoja kwanza naskiliza kinyau nyau kikia cha pweza.
 
ila kweli, ujue mwili ndio hekalu pekee unaloweza miliki mwenyewe?

Mie namwonea huruma tu.

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…