Moyo Mashine....

Huyu kijana yuko vizuri sana nahisi anakosa promotion ya kutosha,ni tangu amenza kuimba Ben Pol ana sauti ya kiuimbaji,ila inapokuja kwenye maswala ya nyota ndio hapo unakuta watu kama wakina Diamond za kwao zina ng'ara sana.
 
Haha I'm your sweet mangi. Wamefanya vizuri kama kawaida yao

Kuna too much ya darassa
Inde ya dully na harmonize (zile style za kucheza sasa)
Mboga saba ya byser na kiba
Wivu ya jux etc. Hizi kila nikichungulia tv nazikuta
naona wewe una taste kama mimi darasa ni mzuri sana mboga saba huwa naipenda jinsi mademu wa uswazi tunavochambwa mle ahahaa yaani huwa nacheka sana kama kweli vile jux ni mzuri ila naona mbana pua sana halafu barnaba nae mahaba yake yamezidi clouds huwa wanambeba sana habebeki nadhani kwa siku mziki wake unapigwa mawinguni kwa asilimia 90
 
Miss, barnaba anafanya music classic, yule ni package. Anatunga, anaimba (anavyocheza na ile sauti yake hakunaga tu) na anapiga vyombo, Barnaba habebwi. Kama kuna watu ambao ni wakubwa ila hawathaminiwi sawa na ukubwa wao barnaba yupo aisee. Sijui ni nyota, Sijui ni mbinu za music, sielewagi hata. Nyimbo za Barnaba hadi uzicopy, jipange mnoooo. He is unique
 
watu wamechoka mawingu na watu wao angeishi bila team
 
safi sana, that what we call free mind, unawaza kwa akili zako.
 
Ukifanya kitu kizuri kinakubalika tu...so far moyo mashine imekuwa anthem.
Upo sahihi mkuu. Ingekuwa vizuri mameneja wenye channel za kimataifa waka push wasanii wenye uwezo km Ben Pol kufanya vizuri kimataifa ili bongofleva ifike mbali na wasanii wengi kutoka Tz
 
Huyu kijana yuko vizuri sana nahisi anakosa promotion ya kutosha,ni tangu amenza kuimba Ben Pol ana sauti ya kiuimbaji,ila inapokuja kwenye maswala ya nyota ndio hapo unakuta watu kama wakina Diamond za kwao zina ng'ara sana.
Inabidi awe msanii sasa. Kuwa muimbaji na msanii ni vitu viwili tofauti. So far ni muimbaji mzuri sana.
 
Haha I'm your sweet mangi. Wamefanya vizuri kama kawaida yao

Kuna too much ya darassa
Inde ya dully na harmonize (zile style za kucheza sasa)
Mboga saba ya byser na kiba
Wivu ya jux etc. Hizi kila nikichungulia tv nazikuta
Hii nayo naielewa kiaian...dedication kwa wale wanaopenda kufuatilia yasiyowahusu..
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…