Perry
JF-Expert Member
- Feb 24, 2011
- 10,043
- 2,000
inaitwa delta force, chuck norris ndan ya nyumba!
acha uongo,hyo movie inaitwa delta force 3,wala chulk norice hayumo.
inaitwa delta force, chuck norris ndan ya nyumba!
ENTER THE DRAGON - BRUCE LEE
liIlkuwa Boonge moja la movie la mkali bruce, hapo mwishoni full kutafutana kwenye vioo...!!!
View attachment 55288 View attachment 55289 View attachment 55290
umenikumbusha mbali sana jamani nilikua naipenda hii sana
umenikumbusha mbali sana jamani nilikua naipenda hii sana
Haha yan mie mpaka leo kuna Picha naisikia sijawah iona ya Jet lee Bodyguard from belging nasikia nzuri. Mie napenda BAKITA NA YANKEE ZULU.
Jamani wakuu me kuna hii Movie ilikuwa inanikoshaga sana enzi hizo.
Inaitwa JUMANJI.
Mastering ni ndugu 4cjui 3 wale,mwisho mdogo wao wa kiume anaota mkia,then game likiisha Wanyama woote na watu wanaingia ktk kitobo kilichopo ktk game.
Jamani mwenye hyo Movie anielekeze,
ntaipata wapi?
Moviez Zangu Za Utotoni.
1.Rambo anaruka mlimani halafu anajishona
2.Anorld ya Jini
3.Warbus
4.Chuck Norris anapita juu ya nyaya za umeme
NB.Tulikua hatujui majina ya Movies tuliadithiana kulingana na matukio
acha uongo,hyo movie inaitwa delta force 3,wala chulk norice hayumo.
Mwanamama wa ukweli CYNYTHIA ROCK, hapo kwenye YES MADAM..
View attachment 55285 View attachment 55286 View attachment 55287
kulikuwa na nyingine zake kali kama ABOVE THE LAW etc, kwa kifupi huyu mama alikuwa ananikosha saana enzi zile za utotoni...
View attachment 55328
.......... iyo apo mkuu