Movie zangu kali za utotoni!

Movie zangu kali za utotoni!

Rambo, komando kipesi sijui inaitwaje na ya kihindi ya dada anageuka nyoka.enzi hizo tv kwa jiraniiii acha kabisa!!

hahaha, full kuvizia tv kwa jirani, kama ni mpangaji ana tv peke yake, wapangaji woote full kujazana kwake!!
komamdo kipesi full kuchinja woote anabaki mmoja anaangalia nyuma walikuwa kumi anajikuta yupo peke yake, anachanganyikiwa anabaki kukimbia ovyo...
jina la movie ya komando kipesi inaitwaje mwenye kuikumbuka?
 
Kwa jirani tena unaambiwa ukae chini usije chafua makochi saa nyingine mnasukumana na hakuna kupiga kelel msije tu mkafukuzwa!!!daaaa!!!those memories!!!!!!!!!
 
Bloodsport.jpg
 
nayo hiyo ilikuwa moto saana naikumbuka sana jinnsi mbwa anavyowahenyesha watu mule, na mbwa kwenda kwenye kaburi la boss wake akitoa machozi kama ishara ya kumkumbuka!
Lakini jina sijui umeikosea, nimeitafuta google nimeikosa.

kweli nimekosea, ila nitakutafutia jina, na nyingine ya maine pyar kiya ya Salman Khan, kuna njiwa naye stering
 
Rambo, komando kipesi sijui inaitwaje na ya kihindi ya dada anageuka nyoka.enzi hizo tv kwa jiraniiii acha kabisa!!bila kusahau disco dansa ya mithun chakrabot

ya kihindi dada anageuka nyoka zipo mbili, moja yaitwa Nagin nyingine Nagina
 
nami nilikuwa naipenda sana hiyo commando natamani niione tena sijui hata nwaeza kuipataje
 
Nani anakumbuka Coming 2 America, nani anakumbuka comedy za Police Academy zipo 1-6 asee zilikuwa ni safi sana. pia kuna disco dancer ya Mithun Chakrabort. Kuna kick Boxing
 
hahaha, full kuvizia tv kwa jirani, kama ni mpangaji ana tv peke yake, wapangaji woote full kujazana kwake!!
komamdo kipesi full kuchinja woote anabaki mmoja anaangalia nyuma walikuwa kumi anajikuta yupo peke yake, anachanganyikiwa anabaki kukimbia ovyo...
jina la movie ya komando kipesi inaitwaje mwenye kuikumbuka?

inaitwa Deadly Prey.
 
nayo hiyo ilikuwa moto saana naikumbuka sana jinnsi mbwa anavyowahenyesha watu mule, na mbwa kwenda kwenye kaburi la boss wake akitoa machozi kama ishara ya kumkumbuka!
Lakini jina sijui umeikosea, nimeitafuta google nimeikosa.

sasa nimeipata, hyo ya Jackie shroff steling mbwa ni teri meherbaniyan
 
mkuu umenibamba!....

on top kulikuwa na movie kibao za indiana jones ikiwemo ile ya king solomon's mines ilifanywa zimbabwe....!

movie zote za buddy spencer na terence hills.....!

yaaaah!.....chuck norris pia
 
Mission imposible, hard boiled, double impact, disco dancer, snake under monkey shadow, tai chi, drunken tai chi.,.kha! Mekumbuka mbali sana.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom