mathematics
JF-Expert Member
- Feb 21, 2012
- 3,324
- 1,116
- Thread starter
- #41
Mission imposible, hard boiled, double impact, disco dancer, snake under monkey shadow, tai chi, drunken tai chi.,.kha! Mekumbuka mbali sana.
kuna movie nyingine hiv makomando walienda uaharabun afu mwishon jamaa m1 anachomwa kisu cha mguun alipokua kakanyaga bom,dah hiyo muv nakumbuka ilikua noma. Kuna m2 anaikumbuka jina limentoka kabsa
Zifuatazo ni baadhi ya movie zangu kali nilizokuwa nazipenda sana wakati wa utotoni!
Commando - Arnold Schwarzenegger
View attachment 55103 View attachment 55104 View attachment 55105
Double impact - Van Damme
View attachment 55107 View attachment 55108 View attachment 55109
Drunken master - Jackie Chain
View attachment 55110 View attachment 55112 View attachment 55113 View attachment 55114
Hadi leo huwa haziniisha hamu kuziangalia, na huwa zinanikumbusha mbali sana!!!
Tupia hapo chini movie gani ilikuwa kali kwako wakati wa utotoni wako/ ujana wako, kwa wengine ni kama vile enzi zileee za video show wakati tv hazijakuwa zimetapakaa hivi!! Ukiweka na picha itakuwa poa zaidi(japo sio sheria)...
Hii movie ilikuwa moto saana, !!! Si unajua za utoto hata majina ya movie huwezi kuyashika,
HATYA- Govinda, Neelam
View attachment 55140 View attachment 55141 View attachment 55142
Movie ilikuwa inaniliza hii..nakumbukia na mimi ''ya ya''..Govinda was good!
The sound of music, ilinikonga..kuimba na kucheza..Maria
Police academy zote, hoi kwa vituko...nilimpenda Mahoney
Home alone..hata leo naweza iangalia
Matilda
kuna m2 anakumbuka kasheshe la huyu dogo,teh teh esp pale jamaa kamficha dogo asionwe na police kwenye mapaja dogo akaanza kufanya mambo haha mwisho jamaa likawashwa moto kuuzima sasa.duh hii ki2 ni classic
![]()
Yaonekana wewe ulikuwa mkali sana kushika majina ya film za kihindi...
kitu cha mbwa hichi hapa
View attachment 55210 View attachment 55211 View attachment 55213
picha ya mwisho huyo mzee alijaribu kumkimbia mbwa bila mafanikio, mbwa anamkamata na kumpa mambo..!!
mkuu umenibamba!....
on top kulikuwa na movie kibao za indiana jones ikiwemo ile ya king solomon's mines ilifanywa zimbabwe....!
movie zote za buddy spencer na terence hills.....!
yaaaah!.....chuck norris pia
Jamani wakuu me kuna hii Movie ilikuwa inanikoshaga sana enzi hizo.
Inaitwa JUMANJI.
Mastering ni ndugu 4cjui 3 wale,mwisho mdogo wao wa kiume anaota mkia,then game likiisha Wanyama woote na watu wanaingia ktk kitobo kilichopo ktk game.
Jamani mwenye hyo Movie anielekeze,
ntaipata wapi?
kitu cha jumanji hichi hapoyani we acha 2, mama ndo alikuwa anazipendaga sana movie za kihindi, na enzi hizo drive inn 2likuwa tunaenda kama kuna movie ya kihindi, mpaka leo me ni mpenzi sana wa hzi movie.
Na hapo mwisho nyoka alikuja kumsaidia, na akafa kwenye kaburi la bosi wa mbwa, tamu sana hii movie, waweza kulia ukiiangalia.
ukizikataa hizi wee hujui movies
1.WARBUS
2.DELTA FORCE- CHUCK NORIS
3.NO RETREAT NO SURRENDER
4.ENTER THE DRAGON
5.STREET FIGHTER
6.VIETNAM WAR MOVIES--- hizi zipo nyingi
kuna moja jina nimelisahau rambo na wesley snipes...humu rambo staring( mwanzoni anagandishwa ktk barafu) then adui snipes na anamtoa mtu jicho kwa peni/sindano
--------------plus
set it off
soul food
renegade- rhino rainz & babi
V-