Mie movie karibia zoote za jackie chain hasa kipanya msosi na jackie mmasai,
Yuen biao,
No retreat no surrender zoote(kisima cha mamba)
The hardway(mniga analiwa na mama)
Kuna moja ya frank zagarino(ina kabiti tulitunga utotoni"maveti maveti mtanikoma" hatari hiyo"
Delta force 2 nadhani(adui carlos, anampiga panga la tumbo demu halafu anamla na mate[emoji23]) movie itafsiriwe na marehemu legend lufufu(kuna sehemu chuck norris aliwekwa kwenye chumba cha gesi, lufufu akasema kawekwa kwenye kanyampasira [emoji23]
Van damme(cyborg sikuizimia mwanzoni,baadae nikaipenda.. ila kuna dame na alex(double impact), dame kickboxer, dame na dofu(adolph ludrgen) movie za dame huchelewi kujichukulia sheria mkoni(nyeto)
The bodyguard(jet lee)
Tiger cage donnie yen.
Anodi ya jeni[emoji23]
Enzi hizo movie inajina la kiswahili, anodi ya jini, komando kipensi, ze hadwei mniga analiwa na mamba(huku lufufu akinogesha show(r.i.p legend)
Kulikuwa na kaseries fulani jamaa alikuwa anaitwa lino lenzi(herufi sizijui,) mwenye data anikumbushe.
Nyingine majamaa wajela jela wametolewa kwenda vitani, kuna sehemu walitekwa, wakawa wanauwawa kwa kuvalishwa gunia ndani kuna nyoka, mniga akamtafuna nyoka mwenyewe.[emoji23]