Mr.Wenger
JF-Expert Member
- Nov 20, 2014
- 2,523
- 5,854
Kuna ile ya Govinda inaitwaje vilee? Kuna katoto kanaita 'yaya' , embu anayejua anikubumbushe!
Kuna ile ya Govinda inaitwaje vilee? Kuna katoto kanaita 'yaya' , embu anayejua anikubumbushe!
deadly preyhahaha, full kuvizia tv kwa jirani, kama ni mpangaji ana tv peke yake, wapangaji woote full kujazana kwake!!
komamdo kipesi full kuchinja woote anabaki mmoja anaangalia nyuma walikuwa kumi anajikuta yupo peke yake, anachanganyikiwa anabaki kukimbia ovyo...
jina la movie ya komando kipesi inaitwaje mwenye kuikumbuka?
Honey, I Shrunk the Kidskweli hata mimi nimeisahau jina ,nakumbuka noliionaga itv kipindi hicho cha 90s, mwenye kuikumbuka jina atukumbushe plse
Honey, I Shrunk the KidsKuna movie nimesahau jina lake,ila kuna watoto walichezea mtambo wa umeme wa baba yao,ukawageuza wakawa wadogo kama sisimizi,basi tone la maji kwao ni mvua,ng'e wanamuona kama tembo,sharubu za paka wananing'inia,nyuki ndio ndege yao,nyasi za ardhini wanaona bonge la msitu,mwenye kujua jina la hii movie naomba aniambie,yaani mpaka leo imepita miaka kama 10 ila nahamu yakuiona tena!!!
Wakuu kwa Arusha wapi ntapata hizi old action movies?
Nazipateje online izoWho am I
Mr nice guy
Za Jacky chan.
Pamoja na true Lie's ya schweitzerniger, Zilibamba sana.
hiyo movie bhana ....ilipendezeshwa zaidi na soundtrack....yake aisee.....Je, na hii mnaikumbuka? Lilikuwa ni boonge la movie...!!
AMERICAN NINJA- MICHAEL DUDIKOFF
View attachment 55129 View attachment 55130 View attachment 55131
Mkuu hiyo lucky seven inapatikana bado...? Maana nimeitafuta sana bila mafanikiwa. Si ndo ile ya vitoto viko saba.1.King of kick boxer
2.double impacts
3.Eastern condors
4.karate kids
5.solo
6.lucky seven
7.we were soldiers
Enzi izo lufufu utasikia ...picha yetu imeletwa kwenye na captain gasper lufuuuuuùufuu lukomaambaijaaaaaaa
Ndio mkuu inapatikana ukimkaribisha mtu kama chief mkwawa hope link utaipata vizuri mi ninayo sema quality mbovu ipo kwenye CDMkuu hiyo lucky seven inapatikana bado...? Maana nimeitafuta sana bila mafanikiwa. Si ndo ile ya vitoto viko saba.
huyo jamaa nampata,alikua anapiga mkono hatariPredator-Arnold Schwarzenegger.
Ninja Hunter-Alexander Lou.
Huyu JAMAA bado yupo hai kweli (Alexander Lou )... Alikuwa moto wa kuotea mbali-kina Jet Lee na Jack Chan bado wananyonya Maziwa kwa Mama zao.
Alexander Lou---
*incredible kung-fu mission.
*Shaolin vs Lama
*Mafia vs Ninja.
*Ninja squared.