camerlengo
JF-Expert Member
- Jun 28, 2025
- 874
- 793
Kwa Jimbo la Dar es salaam pekee mwaka 2025 kanisa limeingiza bil 5 kwa ajili ya mavuno.MOU hiyo ilisainiwa mwaka 1992 na taasisi mbili kubwa: Christian Council of Tanzania (CCT) na Tanzania Episcopal Conference (TEC).
Kupitia makubaliano hayo, serikali ilikubali rasmi kwamba makanisa na taasisi zinazohusiana na dini wanaweza kushiriki katika utoaji wa elimu na huduma za afya. Serikali ikapokea kuunga mkono kwa misaada / ruzuku, na ikajitolea kushirikiana na makanisa katika mipango ya afya na elimu.
Pia MOU hiyo iliteua tume ya pamoja ya ushirikiano: Christian Social Services Commission (CSSC) — ambayo inaendesha shughuli za pamoja katika sekta ya elimu na afya kwa niaba ya makanisa.
KWANINI IPITISHWE NA BUNGE?
MOU yoyote inayogusa fedha za umma lazima ipitishwe na Bunge
Basi MOU inayohusu:
mishahara ya walimu/wauguzi,
uendeshaji wa hospitali/shule za dini,
matumizi ya fedha za umma
inapaswa kwa lazima kupitia Bunge
SHERIA INASEMAJE?
Kuna sheria maalum — The Natural Wealth and Resources Contracts (Review and Re‑negotiation of Unconscionable Terms) Act (CAP. 450) — ambayo inasema kwamba mikataba au makubaliano ya serikali kuhusu maliasili na rasilimali asilia lazima “iwasilishwe kwa National Assembly of Tanzania (Bunge)” ndani ya siku chache baada ya kusainiwa.
NASHAURI NA HII IPELEKWE BUNGENI KWA SABABU HAIKUPITA BUNGENI
Manake ni Nini?
Manake jumuiya ndogondogo zimejichanga na kufilosha kiasi hicho kinachotoka mara moja kwa mwaka!
Tafsiri yake ni Nini?
Ukichukua michango ya waumini wote misikitini nchi nzima haifikii robo ya michango hii ya jumuiya za Dar es salaam peke yake!
Hapo hujaongelea sadaka za misa katikati ya wiki na jumapili pamoja na sadaka za maendeleo!
Bajeti ya Jimbo Kuu la Dar es salaam pekee ni zaidi ya trillion tatu bila misaada kutoka nje!
Hawa watu hawaitegemei serikali kujiendesha bali serikali inawategemea wao!
Mimi ningependa hii MoU ivunjwe tuone panapovuja