Unataka kuwapigisha Shoti ya 132KVa.Ifungieni TEC kama Ufufuo na Uzima au mnaogopa ?
Mashikh au viongozi wakiislamu wengine hutumika kama remote sio akili zao na matakua yao, ila hu ndo mda muafaka wa ku-revise mikataba yote ya unyanyasaji wizi ukandamizaji ulio fanyika baina ya serikali ya CCM na kanisa katoliki, wote ni wale wale wezi, wana power greedyWaifute MoU
Waachie masheikh wote waliowafunga Jela (Mamia)
Serikali ilete mahakama ya kadhi
Halafu cha ajabu mambo mabaya ya kuwaweka ndani masheikh, kusaini MoU Vimefanywa wakati wa rais waislamu.
Sijui kwa nini masheikh wetu hawaibani serikali yenye mamlaka ya kuwapa masilahi na badala yake wanakomaa na maaskofu
Una ota mkuu, tenganisha emotional zako za Imani na ukweli, hiyo TEC kama inafungiwa asubuhi tena na kibaraka wa CCM ambae ni dini ya RC. usichezee state mkuu.kufuta TEC haiwezekani
kwamba wafungie mpaka mashirika yake ya kutoa huduma kama mashule na hospital? si ni kujinyonga wenyewe. Pamoja na udini lakini samKibibi hana jeuri hiyoIfungieni TEC kama Ufufuo na Uzima au mnaogopa ?
Samuya anaweza kua na wazo Hilo sababu akili hana,ila hatoweza..sio kwa TEC tu,hata kwa uislamu asingeweza,..nchi hii ipo tofauti sana likija suala la dini ya uislamu na ukristo ndio serikali yenyewe...Hamna jambo ambalo State power inashindwa kufanya hapa Africa usijipe matumaini ya bure....kama raia zaida ya 1000 wanauliwa na kila kitu kinakua normal sembusa kufuta usajili wa TEC.
Mkuu hawezi kufunga dhehebu ya RC ila anaweza kuzuia na kufuta umoja wa TEC na viongozi wa TEC kusambalatishwa.Samuya anaweza kua na wazo Hilo sababu akili hana,ila hatoweza..sio kwa TEC tu,hata kwa uislamu asingeweza,..nchi hii ipo tofauti sana likija suala la dini ya uislamu na ukristo ndio serikali yenyewe...
Fikiria TEC wanavyoenda toe to toe na Samuya,kama ingekua rahisi kushughulika nao,angewafungia mapema,ila juzi analia tu na kulalamika "Matamko 8" ,ila gwajima kafanya press Mbili tu,you know the story...
nakwambia hicho kitu hakiwezekani, uyo mtu wenu ataishoa tu kutoa michambo kwenye majukwaaUna ota mkuu, tenganisha emotional zako za Imani na ukweli, hiyo TEC kama inafungiwa asubuhi tena na kibaraka wa CCM ambae ni dini ya RC. usichezee state mkuu.
endelea kuotaMkuu hawezi kufunga dhehebu ya RC ila anaweza kuzuia na kufuta umoja wa TEC na viongozi wa TEC kusambalatishwa.
Mkuu nikuulize swali kufuta TEC kama taasisi na kuua wa Tanzania kama 1000 bila hata maelezo au kutoa pole kipi kinaonekana kua kigumu?
nakwambia hicho kitu hakiwezekani, uyo mtu wenu ataishoa tu kutoa michambo kwenye majukwaa
Mlipwe kwa lipi mlolifanya kwa hyo miaka 32?? Mbona mnapenda sana miteremko? Mashekh wote wa bakwata wanalipwa mishahara. Umeskia kuna mtu analalamikia hilo?Kwani tukienda kutibiwa hospital za kanisa tunatibiwa bure?
Waendeshe hospital zao kwa fedha wanazokusanya wenyewe kwa waumini wao na hela ya wateja wanaopenda kutibiwa.
Sio pesa ya umma alaf huku wanajitekenya haki?
Kama ni haki basi na sisi tulipwe hiyo hela ya miaka 32 kutokea 1992 alafu tuanze sawa.
kufuta TEC ni ngumu,Mkuu nikuulize swali kufuta TEC kama taasisi na kuua wa Tanzania kama 1000 bila hata maelezo au kutoa pole kipi kinaonekana kua kigumu?
Yes inawezekana but sio kwa kauli yake,kwa mpango wa muda mrefu wa kupunguza ushawishi wa TEC,sio Sasa wrong timingMkuu hawezi kufunga dhehebu ya RC ila anaweza kuzuia na kufuta umoja wa TEC na viongozi wa TEC kusambalatishwa.
Kwani tukienda kutibiwa hospital za kanisa tunatibiwa bure?
Waendeshe hospital zao kwa fedha wanazokusanya wenyewe kwa waumini wao na hela ya wateja wanaopenda kutibiwa.
Sio pesa ya umma alaf huku wanajitekenya haki?
Kama ni haki basi na sisi tulipwe hiyo hela ya miaka 32 kutokea 1992 alafu tuanze sawa.
Hao jamaa hawatumii akili, wanadhani wanakomoa wakati wataumizana wenyewe huko serikalini, maana kuna viongozi wengi ni wakatolikiSasa waislam mtatibiwa na kusoma wapi?
Nyinyi mnazo Shule na hospital nchi nzima? Maana najua mna Chuo kikuu kimoja tu Morogoro....Wakivunja hiyo MOU wagonjwa na wanafunzi wote nchi nzima mtaenda kuwafundishia na kuwatibia hapo Morogoro?
LM
Sasa waislam mtasoma na kutibiwa wapi ?