PostGE2025 MoU ya TEC na Serikali irudi Bungeni

PostGE2025 MoU ya TEC na Serikali irudi Bungeni

Conversations and stories after Tanzania's 2025 General Elections
huwez ukainana serikali wakati unaendekeza njaa,
waislamu wameuwawa mo29 lakini viongozi wao hata pole hakuna yaani! dah hatari

Mikoa ya kusini yenye waisalmu wengi waliandamana kudai gesi iwanufaishe Kikwete akawapelekea Jeshi likapiga watu sana

Kule Zanzibar kwenye waislamu wengi walichagua rais wao mwaka 2015 Kikwete akawapelekea Jecha

Kikwete akawasweka ndani masheikh wa uamsho kwa kesi ya mchongo kwa miaka kibao

Sheikh Ponda akanusurika kuuawa kwa risasi kipindi cha utawala wa Kikwete.

Kikwete alipeleka jeshi Msikiti wa Idrisa kariakoo kuwadhibiti Waislamu waliotaka kuandamana

Mamia ya masheikh wametapakaa Jela tangu kipindi cha Kikwete.

Halafu eti cha Ajabu, Masheikh haohao wa leo wanadhani eti rais akiwa Muislamu ni kwa maslahi ya uislamu, HAKUNA KITU KAMA HICHO, WANASIASA WANAANGALIA POWER KWANZA
 
Kwahiyo marriage yao iko kwenye divorce? Au imekufa CCM na Kanisa katoliki waliibia sana raia wa nchi hi sasa wamekosana wanataka kuweka wizi wao hadharani........imagine hospitali ya Bugando Inafadhiliwa na kodi za wananchi ila pale kama huna pesa hamna matibabu hata uwe mkotolika anae zunguka na msalaba shingoni,
Vipi mkuu pale saifee ukiwa huna pesa unatibiwa bure au umeona Bugando tu?
 
Zingine hazina mkuu? Au hazilipi kodi?
Mkuu kila mwaka serikali inatoa zaidi ya 10bn kwenye hospitali ya Bugando kama ruzuku kwa mjibu wa MOU, nawafanya kazi wa Buganda wanalipwa mishahara na serikali sio Kanisa, af isitoshe hospitali inatozwa watu pesa sawa kama Aghakani ambae haipati ruzuku za serikali.
 
Mkuu kila mwaka serikali inatoa zaidi ya 10bn kwenye hospitali ya Bugando kama ruzuku kwa mjibu wa MOU, nawafanya kazi wa Buganda wanalipwa mishahara na serikali sio Kanisa, af isitoshe hospitali inatozwa watu pesa sawa kama Aghakani ambae haipati ruzuku za serikali.
Inatoa Bugando tu hakuna hospital zingine? Una uhakika hakuna hospital zingine za kiislam pia zinazopokea ruzuku na zinatoza pesa?
 
Una ota mkuu, tenganisha emotional zako za Imani na ukweli, hiyo TEC kama inafungiwa asubuhi tena na kibaraka wa CCM ambae ni dini ya RC. usichezee state mkuu.
Kauli ya Rais Huwa inachukuliwa kama agizo/onyo. Mfano Rais anaweza kufanya character assassination kupitia kauli tu.

Ndiyo maana alipomwongelea Gwajima kuanzia pale anapitia misukosuko yeye na kanisa lake. Lakini pia ilimkuta hata Mpina.

Jana kwenye kikao na wazee wa Dar,Samia ksliattack kabisa bila konakona. Sasa kwa kauli yako ya "usichezee state" ile kauli ingeleta shida kwa kanisa kuanzia Jana ile ile. Ungeona nyaraka za polisi na inshu za kuvamia makanisa. Ila hakuna wa kufanya hivyo kwa Roman Catholic church..Hayupo na hatakuwepo hadi mwisho wa dahari!

RC ni iceberg,huwezi kushindana nayo kwa kuigonga mithili ya meli ya Titanic. Utavunjika wewe.

By the way; serikali kublend na hospitals za kanisa na kufanya hybriding imepelekea hospitali xs kanisa kuwa na hudumabovu sana.

Mnachoomba serikali ikifanye,ikifanye haraka bila kusita.
 
Mikoa ya kusini yenye waisalmu wengi waliandamana kudai gesi iwanufaishe Kikwete akawapelekea Jeshi likapiga watu sana

Kule Zanzibar kwenye waislamu wengi walichagua rais wao mwaka 2015 Kikwete akawapelekea Jecha

Kikwete akawasweka ndani masheikh wa uamsho kwa kesi ya mchongo kwa miaka kibao

Sheikh Ponda akanusurika kuuawa kwa risasi kipindi cha utawala wa Kikwete.

Kikwete alipeleka jeshi Msikiti wa Idrisa kariakoo kuwadhibiti Waislamu waliotaka kuandamana

Mamia ya masheikh wametapakaa Jela tangu kipindi cha Kikwete.

Halafu eti cha Ajabu, Masheikh haohao wa leo wanadhani eti rais akiwa Muislamu ni kwa maslahi ya uislamu, HAKUNA KITU KAMA HICHO, WANASIASA WANAANGALIA POWER KWANZA


Wao watakwambia wakati kikwete anafanya hayo yote, Kwanini TEC hawakupiga kelele.

Hawa ndugu zetu hawa 🤣
 
Kauli ya Rais Huwa inachukuliwa kama agizo/onyo. Mfano Rais anaweza kufanya character assassination kupitia kauli tu.

Ndiyo maana alipomwongelea Gwajima kuanzia pale anapitia misukosuko yeye na kanisa lake. Lakini pia ilimkuta hata Mpina.

Jana kwenye kikao na wazee wa Dar,Samia ksliattack kabisa bila konakona. Sasa kwa kauli yako ya "usichezee state" ile kauli ingeleta shida kwa kanisa kuanzia Jana ile ile. Ungeona nyaraka za polisi na inshu za kuvamia makanisa. Ila hakuna wa kufanya hivyo kwa Roman Catholic church..Hayupo ba haitakuwepo hadi mwisho wa dahari!

RC ni iceberg,huwezi kushindana nayo kwa kuigonga mithili ya meli ya Titanic. Utavunjika wewe.

By the way; serikali kublend na hospitals za kanisa na kufanya hybriding imepelekea hospitali xs kanisa kuwa na hudumabovu sana.

Mnachoomba serikali ikifanye,ikifanye haraka bila kusita.

Mkuu kwa wenye akili Wanajua kabisa, Kanisa Lazima lifunge mkanda, Akina kitima watapitia nyakati Ngumu
 
MOU hiyo ilisainiwa mwaka 1992 na taasisi mbili kubwa: Christian Council of Tanzania (CCT) na Tanzania Episcopal Conference (TEC).

Kupitia makubaliano hayo, serikali ilikubali rasmi kwamba makanisa na taasisi zinazohusiana na dini wanaweza kushiriki katika utoaji wa elimu na huduma za afya. Serikali ikapokea kuunga mkono kwa misaada / ruzuku, na ikajitolea kushirikiana na makanisa katika mipango ya afya na elimu.

Pia MOU hiyo iliteua tume ya pamoja ya ushirikiano: Christian Social Services Commission (CSSC) — ambayo inaendesha shughuli za pamoja katika sekta ya elimu na afya kwa niaba ya makanisa.

KWANINI IPITISHWE NA BUNGE?
MOU yoyote inayogusa fedha za umma lazima ipitishwe na Bunge

Basi MOU inayohusu:

mishahara ya walimu/wauguzi,

uendeshaji wa hospitali/shule za dini,

matumizi ya fedha za umma
inapaswa kwa lazima kupitia Bunge

SHERIA INASEMAJE?
Kuna sheria maalum — The Natural Wealth and Resources Contracts (Review and Re‑negotiation of Unconscionable Terms) Act (CAP. 450) — ambayo inasema kwamba mikataba au makubaliano ya serikali kuhusu maliasili na rasilimali asilia lazima “iwasilishwe kwa National Assembly of Tanzania (Bunge)” ndani ya siku chache baada ya kusainiwa.

NASHAURI NA HII IPELEKWE BUNGENI KWA SABABU HAIKUPITA BUNGENI

Wazo zuri sana. Waurudishe huo mkataba mezani uwekwe wazi. Masheikh Ubwabwa wamezidi uongo kwa kusema TEC wanafaidika bila kutoa data.
 
Hahaha wakatoliki hoi hakuna janja janja tena. Nyie si mnasema watu wa haki? Haki hiyo irudishwe bungeni wabunge waipitishe au waikatae, hakuna kificho tena.

Hongera kwako mleta mada
Hivi unadhani wakatoliki wakiacha kutoa huduma watakao umia ni wakina nani? Hospitali za Peramiho, Ndanda, Bugando n.k. zikiamua kutoza viwango vya Aga Khan nani ataumia?

Amandla...
 
Kauli ya Rais Huwa inachukuliwa kama agizo/onyo. Mfano Rais anaweza kufanya character assassination kupitia kauli tu.

Ndiyo maana alipomwongelea Gwajima kuanzia pale anapitia misukosuko yeye na kanisa lake. Lakini pia ilimkuta hata Mpina.

Jana kwenye kikao na wazee wa Dar,Samia ksliattack kabisa bila konakona. Sasa kwa kauli yako ya "usichezee state" ile kauli ingeleta shida kwa kanisa kuanzia Jana ile ile. Ungeona nyaraka za polisi na inshu za kuvamia makanisa. Ila hakuna wa kufanya hivyo kwa Roman Catholic church..Hayupo ba haitakuwepo hadi mwisho wa dahari!

RC ni iceberg,huwezi kushindana nayo kwa kuigonga mithili ya meli ya Titanic. Utavunjika wewe.

By the way; serikali kublend na hospitals za kanisa na kufanya hybriding imepelekea hospitali xs kanisa kuwa na hudumabovu sana.

Mnachoomba serikali ikifanye,ikifanye haraka bila kusita.
Hizo ni kauli taka tu huwezii
 
LM

Sasa waislam mtasoma na kutibiwa wapi ?
Hili gugu la udini Samia amelipalilia sana na naona linazidi kunawiri.
Ngoja lianze kutoa matunda, ndipo watu watajua hawakujua.

Ninaona katika uhalisia wa maisha huku mitaani ni tofauti kabisa na kelele za wanasiasa.
.Watu wameoleana na wanaheshimiana sana bila kujali dini zao
. Hosipitali/shule za dini tofauti huwa zinatoa huduma SAWA kabisa kwa watu wote bila kujali dini za wateja.
. Na mengine mengi ya kijamii. Hata mleta mada Malaria 2 analijua hili.

Tahadhari: Kama wanasiasa wasipokemewa kwa huu ujinga wanaofanya, basi hali inaweza kubadilika na kuharibu umoja wetu.

UONGO UKIRUDIWA MARA NYINGI BILA KUPINGWA, HUGEUKA KUWA UKWELI.
 
Hili gugu la udini Samia amelipalilia sana na naona linazidi kunwiri.
Ngoja lianze kutoa matunda, mdipo watu watajua hawakujua.

Ninaona katika uhalisia wa maisha huku mitaani ni tofauti kabisa na kelele za wanasiasa.
.Watu wameoleana na wanaheshimiana sana bila kujali dini zao
. Hosipitali/shule za dini tofauti huwa zinatoa huduma SAWA kabisa kwa watu wote bila kujali dini za wateja.
. Na mengine mengi ya kijamii. Hata mleta mada Malaria 2 analijua hili.

Tahadhari: Kama wanasiasa wasipokemewa kwa huu ujinga wanaofanya, basi hali inaweza kubadilika na kuharibu umoja wetu.

UONGO UKIRUDI WA MARA NYINGI BILA KUPINGWA, HUGEUKA KUWA UKWELI.
Wanataka kuleta siasa za kidini kama kenya walivyopandikiziwa ukabila ambao hawakuwa nao
 
MOU hiyo ilisainiwa mwaka 1992 na taasisi mbili kubwa: Christian Council of Tanzania (CCT) na Tanzania Episcopal Conference (TEC).

Kupitia makubaliano hayo, serikali ilikubali rasmi kwamba makanisa na taasisi zinazohusiana na dini wanaweza kushiriki katika utoaji wa elimu na huduma za afya. Serikali ikapokea kuunga mkono kwa misaada / ruzuku, na ikajitolea kushirikiana na makanisa katika mipango ya afya na elimu.

Pia MOU hiyo iliteua tume ya pamoja ya ushirikiano: Christian Social Services Commission (CSSC) — ambayo inaendesha shughuli za pamoja katika sekta ya elimu na afya kwa niaba ya makanisa.

KWANINI IPITISHWE NA BUNGE?
MOU yoyote inayogusa fedha za umma lazima ipitishwe na Bunge

Basi MOU inayohusu:

mishahara ya walimu/wauguzi,

uendeshaji wa hospitali/shule za dini,

matumizi ya fedha za umma
inapaswa kwa lazima kupitia Bunge

SHERIA INASEMAJE?
Kuna sheria maalum — The Natural Wealth and Resources Contracts (Review and Re‑negotiation of Unconscionable Terms) Act (CAP. 450) — ambayo inasema kwamba mikataba au makubaliano ya serikali kuhusu maliasili na rasilimali asilia lazima “iwasilishwe kwa National Assembly of Tanzania (Bunge)” ndani ya siku chache baada ya kusainiwa.

NASHAURI NA HII IPELEKWE BUNGENI KWA SABABU HAIKUPITA BUNGENI
Hata ukifungia huduma watakao umia zaidi ni WANANCHI tena wana CCM haswa .
Nchi nzima Waislam hawana chuo kikuu cha udaktari wala hospitali kubwa yoyote
 
Back
Top Bottom