PostGE2025 MoU ya TEC na Serikali irudi Bungeni

PostGE2025 MoU ya TEC na Serikali irudi Bungeni

Conversations and stories after Tanzania's 2025 General Elections
Ukitoa Kutangaza SIKYKUU, ni mamlaka gani mengine ya LAZIMA kutika BAKWATA lazima myafuate?


Kwanini wakipuyanga huwa mnakubaliana nao??
Kwa muhtasari: mimi nafuata mafundisho ya dini. Yananitaka niwe muadilifu, na uadilifu ni kutenda haki. Kwa msingi huo, palipo na haki mimi nipo pasipo kuangalia inatoka kwa nani.

Na namshukuru Mungu amenipatia akili na elimu. Hivyo, nashirikiana na mtu penye kheri (penye usahihi), na nitatofautiana na mtu pasipo na usahihi.

Bakwata wanachokifanya na baadhi ya wanaojiita masheikh si sahihi kwa kadhia wanayoileta kwa sasa kwenye jamii. Halikadhalika, hata huyu mleta Uzi napingana naye mtazamo wake.

Aidha, iwe kwa sasa au kwa baadaye, Bakwata watakachokifanya ambacho si sahihi nitatofautiana nao.
 
MOU hiyo ilisainiwa mwaka 1992 na taasisi mbili kubwa: Christian Council of Tanzania (CCT) na Tanzania Episcopal Conference (TEC).

Kupitia makubaliano hayo, serikali ilikubali rasmi kwamba makanisa na taasisi zinazohusiana na dini wanaweza kushiriki katika utoaji wa elimu na huduma za afya. Serikali ikapokea kuunga mkono kwa misaada / ruzuku, na ikajitolea kushirikiana na makanisa katika mipango ya afya na elimu.

Pia MOU hiyo iliteua tume ya pamoja ya ushirikiano: Christian Social Services Commission (CSSC) — ambayo inaendesha shughuli za pamoja katika sekta ya elimu na afya kwa niaba ya makanisa.

KWANINI IPITISHWE NA BUNGE?
MOU yoyote inayogusa fedha za umma lazima ipitishwe na Bunge

Basi MOU inayohusu:

mishahara ya walimu/wauguzi,

uendeshaji wa hospitali/shule za dini,

matumizi ya fedha za umma
inapaswa kwa lazima kupitia Bunge

SHERIA INASEMAJE?
Kuna sheria maalum — The Natural Wealth and Resources Contracts (Review and Re‑negotiation of Unconscionable Terms) Act (CAP. 450) — ambayo inasema kwamba mikataba au makubaliano ya serikali kuhusu maliasili na rasilimali asilia lazima “iwasilishwe kwa National Assembly of Tanzania (Bunge)” ndani ya siku chache baada ya kusainiwa.

NASHAURI NA HII IPELEKWE BUNGENI KWA SABABU HAIKUPITA BUNGENI
Mwaka 1992 nani alikuwa Rais wa nchi hii? Mzee Ruksa ambaye ni dini gani
 
Tabia za kizanzibari analeta bara kubaguana kwa dini . Mpemba anamuona muomani ni ndugu yake kuliko mkristo mwenzake wa fuoni.

Kuna uhusiano mkubwa kati ya uislamu na kukosa uvumilivu kama unawajua waislamu hutabisha hili. Sio muda tutaanza kuwaona waislamu wakichoma mabucha ya kitimoto na makanisa hawa watu wanapewa kichwa na mwenzao
 
  • Thanks
Reactions: vnn
Kwa muhtasari: mimi nafuata mafundisho ya dini. Yananitaka niwe muadilifu, na uadilifu ni kutenda haki. Kwa msingi huo, palipo na haki mimi nipo pasipo kuangalia inatoka kwa nani.

Na namshukuru Mungu amenipatia akili na elimu. Hivyo, nashirikiana na mtu penye kheri (penye usahihi), na nitatofautiana na mtu pasipo na usahihi.

Bakwata wanachokifanya na baadhi ya wanaojiita masheikh si sahihi kwa kadhia wanayoileta kwa sasa kwenye jamii. Halikadhalika, hata huyu mleta Uzi napingana naye mtazamo wake.

Aidha, iwe kwa sasa au kwa baadaye, Bakwata watakachokifanya ambacho si sahihi nitatofautiana nao.
Kuna Masheikh ambao hawakwenda SHULE na pia umasikini umewatafuna sana...ndio maana ni rahisi sana kutumika kwa propaganda za kijinga kwa gharama ndogo sana.
 
DP WORLD wanasaidia nini WAISLUM?

Wenye AKILI walipinga DP WORLD kutokana na MKATABA wao, sasa nyie mnafurahia DP WORLD kwasababu ni WAARABU?

Sbyoe ni kitu MUHIMU sana.

Kwahiyo suala la KUACHA ,UTEKAJI, MAUAJI, ni mchakato wa Muda gani???

Samia kakosana na WANANCHI, na KAANZA KUHUBIRI UDINI.

Kajibanza JESHINI, akae akijua hata SISI WANAJESHI TUNA DINI ZETU.

Sisemi sana.
Dp world haisaidii waislamu tu Bali inasaidia Watanzania wote kutokana na mapato yanayopatikana.

Sasa kama unataka uletewe chakula mezani hilo halitotokea kamwe
 
Ndio maana wenye AKILI TIMAMU walihoji MKATABA ulioingia kati ya SERIKALI na DP WORLD.

Kwasababu NCHI imeshapigwa vibaya sana, na SERIKALI haiaminiki.
Waliohoji ni wakatoliki kwa kuwa mianya yao ya wizi imedukuliwa
 
Unamaanisha TEC walikua na nguvu kuliko serikali ya kikwete?

Mm sio TEC, alafu hii kusema sio daraja la kwanza au la pili ni hofu tu mliyo nayo hasa watu wanaojihisi unyonge. Unafikiri GSM au bakhressa anaweza kutoa hiyo kauli?
Walijiona Wana nguvu kutokana na past experiences kila walichokipinga serikali iliwakubalia kiasi ya kwamba hata walipoamua kuzikwamisha haki za Waislamu waliweza kufanya hivyo
 
catholic hawana njaa F.la ww na ujue serikali ndio iliiombaga catholic
Hawana njaa si mnawachangia zaka na sadaka ...ngoja panuke uone wale waumini kama wataleta hizo zaka stupid wa head
 
mpaka leo hii hospitali nyingi za wilaya ambazo ni za serikali hazina lolote na rufaa zao wanapeleka hospitali za DDH za catholic
Kaisome MoU vizuri ndiyo utajua kama ni Sababu ya Hilo. Pimbi wewe
 
MOU hiyo ilisainiwa mwaka 1992 na taasisi mbili kubwa: Christian Council of Tanzania (CCT) na Tanzania Episcopal Conference (TEC).

Kupitia makubaliano hayo, serikali ilikubali rasmi kwamba makanisa na taasisi zinazohusiana na dini wanaweza kushiriki katika utoaji wa elimu na huduma za afya. Serikali ikapokea kuunga mkono kwa misaada / ruzuku, na ikajitolea kushirikiana na makanisa katika mipango ya afya na elimu.

Pia MOU hiyo iliteua tume ya pamoja ya ushirikiano: Christian Social Services Commission (CSSC) — ambayo inaendesha shughuli za pamoja katika sekta ya elimu na afya kwa niaba ya makanisa.

KWANINI IPITISHWE NA BUNGE?
MOU yoyote inayogusa fedha za umma lazima ipitishwe na Bunge

Basi MOU inayohusu:

mishahara ya walimu/wauguzi,

uendeshaji wa hospitali/shule za dini,

matumizi ya fedha za umma
inapaswa kwa lazima kupitia Bunge

SHERIA INASEMAJE?
Kuna sheria maalum — The Natural Wealth and Resources Contracts (Review and Re‑negotiation of Unconscionable Terms) Act (CAP. 450) — ambayo inasema kwamba mikataba au makubaliano ya serikali kuhusu maliasili na rasilimali asilia lazima “iwasilishwe kwa National Assembly of Tanzania (Bunge)” ndani ya siku chache baada ya kusainiwa.

NASHAURI NA HII IPELEKWE BUNGENI KWA SABABU HAIKUPITA BUNGENI

..suala hili natamani aulizwe msemaji wa serikali ili alitolee ufafanuzi.

..nimemsikia Father Kitima akisema kwamba kupitia MOU Makanisa hayapokei fedha toka serikalini ya Tanzania, bali yanapokea fedha zinazotoka ktk serikali za nje ya nchi, haswa Ujerumani, kwenda kwa taasisi za Kikristo za Tanzania. Kwa maana nyingine ni kwamba, kuna nchi za magharibi ambazo zina utaratibu wa kutoa fedha kwa mashirika ya Kikristo ya Tanzania, lakini nchi hizo zingependa fedha hizo zipitie kwa serikali ya Tanzania.

..majuzi nimesikia Sheikh Mkuu Zubeir akiripoti kwamba ametoka kusaini MOU kati ya Bakwata na serikali ya Saudia Arabia.
 
Walijiona Wana nguvu kutokana na past experiences kila walichokipinga serikali iliwakubalia kiasi ya kwamba hata walipoamua kuzikwamisha haki za Waislamu waliweza kufanya hivyo
Hiyo uliyonayo ni hofu dhidi yao, hawana huo ukubwa na hawajawahi kuwa nao.
Mnaishi kwa hofu mno, mnahofia kitu ambacho hakipo. Serikali ya kikwete haiwezi kusikiliza wanachotaka TEC, acha kuwa na hofu
 
Walijiona Wana nguvu kutokana na past experiences kila walichokipinga serikali iliwakubalia kiasi ya kwamba hata walipoamua kuzikwamisha haki za Waislamu waliweza kufanya hivyo
Serikali imeshagundua nyie ni WAPUMBAVU, MAJUHA na wa BEI ndogo.

Yaani SERIKALI ikatae kuwapa haki zenu, halafu LAWAMA muwape TEC???

TEC haina BUNGE, haitungi SHERIA na haina MAGEREZA.

Kama SERIKALI inawasikiliza TEC mbona inateka na KUDHALILISHA watumishi wake??
 
MIANYA ipi??

Kulikuwa na WIZI Bandarini. Na bado unaamini kuna SERIKALI??

Sasa kama BANDARINI watu wanaiba, hao DP WORLD wameletwa na Allah kuja kuzuia WIZI??


Hebu PELEKENI watoto Wenu SHULE wasiwe na AKILI kama ZENU
Kwani wewe ulikuwa hujui kuwa walikuwa wanakwepa Kodi kwa kuingiza bidhaa zao bure kwa kisingizio Cha dini?

Nyie wakristo munajigamba sana kuwa sijui mna PhD , sijui nini?

Sasa tuambieni hizo PhD Zenu mmeleta kipi Cha maana katika nchi hii?
Kama sio ufisadi na wizi.

Et Kodi zetu sote zikanufaishe kanisa Pekee nani atakubali? Mtazitapika tu one day.

Waliyoishikia amani ya nchi hii ni Waislamu ,huu upole wetu ndio mtuone raia wa daraja la pili?

Sasa watu wamesoma elimu ya dini na elimu ya Dunia, kote Wana maarifa maridhawa.

Nani alikuwa hajui kwamba waislamu walikuwa wakifelishwa katika elimu ili tu wasipate nafasi za kuweza kuongoza nchi.

Mbona sasa hivi kwa kiasi kikubwa jambo hilo limepungua?

Nani asiyejua katika teuzi za serikali hapo zamani wakristo tu walikuwa wakiwekana, sasa hivi pia jambo hilo limepungua.

Kwahiyo tulieni dawa iwaingie mambo huenda kwa zamu, tunajua nyinyi ni ndugu zetu katika utaifa ila mna roho mbaya na wabinfsi linapofika jambo lenye maslahi na waislamu.

Hizo PHD uchwara za kupiga amapiano makanisani sisi hazitushtui.

Nani asiyejua wakati wa ukoloni ili upate kusoma shule za waliowaletea ukristo sharti ni lazima uritadi uache dini yako uwe mkristo ndio upate kusoma elimu ya ki secular? Wazee wetu wengi walikataa kutokana na sharti hili la kijinga.

Kiufupi msidhani waislamu ni wakosefu wa maarifa , tuna misingi madhubuti ya dini yetu kuliko nyinyi makafiri.
 
Hiyo sio MoU ya TEC tuu, ni kwa makanisa na taasisi zote za kidini, hata BAKWATA mnaruhusiwa humo,ila udini na chuki vimemaliza akili zenu hamuwezi kuelewa, debating watu kama nyie ni kupoteza muda tuu
 
MOU hiyo ilisainiwa mwaka 1992 na taasisi mbili kubwa: Christian Council of Tanzania (CCT) na Tanzania Episcopal Conference (TEC).

Kupitia makubaliano hayo, serikali ilikubali rasmi kwamba makanisa na taasisi zinazohusiana na dini wanaweza kushiriki katika utoaji wa elimu na huduma za afya. Serikali ikapokea kuunga mkono kwa misaada / ruzuku, na ikajitolea kushirikiana na makanisa katika mipango ya afya na elimu.

Pia MOU hiyo iliteua tume ya pamoja ya ushirikiano: Christian Social Services Commission (CSSC) — ambayo inaendesha shughuli za pamoja katika sekta ya elimu na afya kwa niaba ya makanisa.

KWANINI IPITISHWE NA BUNGE?
MOU yoyote inayogusa fedha za umma lazima ipitishwe na Bunge

Basi MOU inayohusu:

mishahara ya walimu/wauguzi,

uendeshaji wa hospitali/shule za dini,

matumizi ya fedha za umma
inapaswa kwa lazima kupitia Bunge

SHERIA INASEMAJE?
Kuna sheria maalum — The Natural Wealth and Resources Contracts (Review and Re‑negotiation of Unconscionable Terms) Act (CAP. 450) — ambayo inasema kwamba mikataba au makubaliano ya serikali kuhusu maliasili na rasilimali asilia lazima “iwasilishwe kwa National Assembly of Tanzania (Bunge)” ndani ya siku chache baada ya kusainiwa.

NASHAURI NA HII IPELEKWE BUNGENI KWA SABABU HAIKUPITA BUNGENI
Wewe hujui historia ya umiliki wa schools and hospitals kongwe za nchi hii. Jifunze kwanza hiyo historia ndipo uje uanzishe mjadala!
 
Hiyo sio MoU ya TEC tuu, ni kwa makanisa na taasisi zote za kidini, hata BAKWATA mnaruhusiwa humo,ila udini na chuki vimemaliza akili zenu hamuwezi kuelewa, debating watu kama nyie ni kupoteza muda tuu
Kwani waislamu hawakulilalamikia hili mbona hawakupewa?

Mkuu usiongee kisasa waislamu tumeamka sasa!!

Mtasema kila mtu apambane kutafuta haki zake

Mbona waislamu tunapofika kuzipambania haki zetu zinazotuhusu sisi mnazipinga na kutia kidomo domo mpaka mhakikishe kuwa haki hiyo hatuipati na mifano mingi ipo.

Kiufupi kama mleta mada hapo juu alivyosema tutashikilia mpaka hii Momerandum of Understanding (MoU) irudishwe bungeni iwe kihalali kabisa au wote tupate.

Kile mlichokula tulipwe alafu tuanze sawa kabisa.

Maana tukija kwenye uiano wa Wingi Waislamu tupo wengi katika nchi kuliko nyinyi .

Uthibitisho ni sensa kabla ya uhuru na baada ya uhuru ile ya mwaka 1967.

Kama hilo unalipinga tuhesabiwe kwa haki.

Uislamu umeingia katika nchi hii tokea Karne ya 7 ukristo Karne ya 15 mwaka 1498 msafara wa wakatoliki wa kireno baada ya msafara wa Vasco da gama akataka kuwaritadisha Waislamu kwa nguvu lakini alishindwa soma history vizuri ya ujio wa wakoloni katika mwambao wa Africa ya mashariki.

Mpaka alipokuja mkoloni wa kijerumani na kiingereza alipokuja na siasa za kuanzisha shule za misheni na huduma za kiafya kwa sharti lazima uwe mkristo hapo ndipo akaweza kuupenyeza ukristo kwa kutumia mbinu hiyo.

Historia ipo na imedhibitiwa.

Kanisa katoliki ni wasababishi wa vurugu maana wao ndio wanakomba rasilimali za nchi hii kuwapelekea mabeberu kwa sababu ni mabwana zao.
 
Back
Top Bottom