Gulaya
JF-Expert Member
- Feb 24, 2012
- 659
- 230
Kuna PPF Tower na PPF House wengi huwa wanachanganya na kutokujua si ushamba is just matter of time
wanachanganya vip wakati muelezaj kasema kabisa Ohio/Garden Avenue...PPF House Samora uko
Kuna PPF Tower na PPF House wengi huwa wanachanganya na kutokujua si ushamba is just matter of time
Ppf tower ya wapi? Mbona huweki mambo yaeleweke!
Iliungua WTC unashangaa PPF? Acha makandarasi watengeneze deal, TUMESHAWAZOEA. Af utasikia "ooh, shoti ya umeme", pumbaf, mbona ikulu hatujawah sikia, au kule hakuna umeme
Mkuu unataka mambo yaeleweki vip mbona maelezo yanajitosheleza kabisa..au PPF Tower unayoongelea ww ni ya wap?,NYAKANAZI au???
Kikosi cha zimamoto kilisema hakina hela kikaanzisha utaratibu wa kila gari kulipia elfu 20 kama kibali cha fire extuingisher.tena mzigo unapitia TRA automatically sasa hzo hela wanapeleka wp wanashindwa kununua vifaa?au mradi wa mtu kujipatia hela?tujiulize sie janga la moto lishakua lakitaifa
Inawezekana si unajua w'kend tena hii mkuuMkuu wengine walilala club wapo chakari ndo maana hawaoni vizuri
Ikulu ilishawahi kuungua wakati wa utawala wa Ben. Sema ambacho siku zote huwa kinanishangaza ni hii ya kuona majengo ya serikali na mashirika mbalimbali yanaungua moto ilihali yamejengwa na maengineer waliosomea na kubobea katika kazi zao. Na hapo najiuliza ni kwa vipi majengo yaliyojengwa na maengineer ndiyo yapo prone hiyo kwenye moto ilihali nyumba za akina sie ambazo zinajengwa na vijana wa mjini zinasurvive hadi zinazeeka? Kuna kitu hapa siyo bure.Iliungua WTC unashangaa PPF? Acha makandarasi watengeneze deal, TUMESHAWAZOEA. Af utasikia "ooh, shoti ya umeme", pumbaf, mbona ikulu hatujawah sikia, au kule hakuna umeme