Moto wawaka jengo la PPF Tower - Dar

Moto wawaka jengo la PPF Tower - Dar

Status
Not open for further replies.
Sitashangaa kusikia nyaraka zimeungua, maana hata mimi kuna pesa zangu zilipelekwa huko halafu nikicheki account hakuna kitu.
Angalia mkuu usije ukawa ushaliwa aisee...hii nchi lolote huwa linawezekana...
 
acha liungue tujenge christapen tower tehetehetehe......||||||||||||||

attachment.php


Mpaka saa 9.00 mchana hakuna up-date za sasa?
picha inaonesha kilichoungua na huenda kimezimwa na km kuzima wanashindwa basi hata huyo mpiga picha anaweza kuwaonesha njia ya kufikia hapo na Extinguisher

Hilo Jengo likipona lipewe jina licha ya ppf, na Christerpain mpeni Gentermicine maana wanakodisha makampuni mengi mpaka kichwa kinaliuma na PPF mmekaa sana kibiashara wakati wanachama hawaoni hayo mafao mpaka ........
 
Iliungua WTC unashangaa PPF? Acha makandarasi watengeneze deal, TUMESHAWAZOEA. Af utasikia "ooh, shoti ya umeme", pumbaf, mbona ikulu hatujawah sikia, au kule hakuna umeme

Naomba kuweka stori sawa: Ikulu kipindi cha uongozi wa Ben Mkapa uiwahi ibuka moto upande wa makazi ya rais na kila kitu kiliteketea. Kumbukumbu yangu japo ina ukoko wa Valour, inaniambia chanzo cha moto huo wa Ikulu ilikuwa ni shoti ya umeme.
 
saa 5 ya adhuhuri? khaaa shule za kata kweli majanga
 
Hii nchi tuna matatizo sana! Ukiangalia picha ya kwanza, ya tatu na ile ya sita -toka juu- utaona kijana/askari wanaangalia moto bila ya kuvaa mask/kinga yoyote. Infact picha ya sita wanazima moto huku wakiwa watupu kabisa. Wakizidiwa na moshi?

Lakini kwenye picha zingine, watu wa zima moto wanaonekana wamefika kwenye eneo la tukio kabla ya kuvaa magwanda ya kazi! Tuna safari ndefu bado.
 
One of the city's 'landmarks' is on fire and we are helpless.. Hii wizara inayohusika na 'moto' si inaongozwa na PhD? Wapi ubunifu..
 
Hii nchi tuna matatizo sana! Ukiangalia picha ya kwanza, ya tatu na ile ya sita -toka juu- utaona kijana/askari wanaangalia moto bila ya kuvaa mask/kinga yoyote. Infact picha ya sita wanazima moto huku wakiwa watupu kabisa. Wakizidiwa na moshi?

Lakini kwenye picha zingine, watu wa zima moto wanaonekana wamefika kwenye eneo la tukio kabla ya kuvaa magwanda ya kazi! Tuna safari ndefu bado.
Mawazo finyu
Hao unaowaona kwanza ni watu wa kwanza kufika kwenye tukio na wanaonekana kama sio walinzi bali ni wafanyakazi wa hapo, mie naishi ulaya na sijawai kuona kwenye first aid ya jengo lolote wameweka mavazi ya kuzima moto na masks, bali ni fire extinguishers
Badili na jina lako basi uite bill johnson ili tujue unaishi ulaya au us kwani unaona kila kitu kilicho kwenu ulikotoka ni cha kishamba .
 
mambo ya moto na ulaya vinamahusiano? tunachohitaji ni kuona vipi tutatua tatizo mtu km uko ulaya sawa lakini tutatue matayizo yetu kibongo. ungemuelewesha tu mwenzio kuwa hao ni wa huduma ya kwanza watu wa ofisi hiyo lakini kutuambia mbambo ya ulaya sielewi. endapo ninekukwaza mkuu tusameheabe.
 
Mawazo finyu
Hao unaowaona kwanza ni watu wa kwanza kufika kwenye tukio na wanaonekana kama sio walinzi bali ni wafanyakazi wa hapo, mie naishi ulaya na sijawai kuona kwenye first aid ya jengo lolote wameweka mavazi ya kuzima moto na masks, bali ni fire extinguishers
Badili na jina lako basi uite bill johnson ili tujue unaishi ulaya au us kwani unaona kila kitu kilicho kwenu ulikotoka ni cha kishamba .

Pamoja na kubeba mabox miaka yote hiyo kumbe bado mshamba!
Unatetea upumbafuuuu...?
 
  • Thanks
Reactions: FJM
iMkuu. kwa kweli bado hatuna tahadhari ya kutosha kujikinga n amajanga ya moto.
 
Wakuu mwenye kunithibitishia hizi taarifa atakuwa amenisaidia kwa sababu nimetumiwa taarifa hii na mtu mmoja me nipo Igunga so sina uhakika na chanzo hiki cha habari,so mwenye taarif
  • A%20S%20cry.gif

a kamili anisaidie.
 
Hiyo ni hujuma ili watu wapige hela, wanataka kupoteza ushahidi, mafaili yapotee
 
Mawazo finyu
Hao unaowaona kwanza ni watu wa kwanza kufika kwenye tukio na wanaonekana kama sio walinzi bali ni wafanyakazi wa hapo, mie naishi ulaya na sijawai kuona kwenye first aid ya jengo lolote wameweka mavazi ya kuzima moto na masks, bali ni fire extinguishers
Badili na jina lako basi uite bill johnson ili tujue unaishi ulaya au us kwani unaona kila kitu kilicho kwenu ulikotoka ni cha kishamba .

Nikutoe wasiwasi tu ndugu, hiyo Ulaya unayoongelea watu tunaifahamu sana na ndio maana tumeandika yaliyoandikwa. Picha ya 3 na 6, ingekuwa ni huko 'Ulaya' na hasa hapo Uingereza uliko, kesho ingekuwa front-page news 'The Sun' kuonesha jinsi safety plan ilivyo mbovu kwenye jengo. Yaani nyaya zinawaka then an ill-prepared individual anaenda 'kutizama'!

'Ulaya ya kweli (na sio ya kima-box) kwenye jengo kama hilo, mbali na fire extinguishers, kuna kit kwa ajili ya moto. Kwanza kwenye kama hilo wanakuwa na drill za mara kwa mara, na kunakuwa na staff ambao wanapata special training ili kuwaongoza wengine wakati wa tatizo kama hili la moto. And most definately, hao staff hawataenda kweney chanzo cha moto watupu kama hao unaowatetea.

Sasa naanza kuelewa ni kwanini ulisema haujahi kuona barabara nzuri kama za Tanzania? Mkikaa kwenye nchi za watu jaribuni kujifunza 'kwa undani' na sio kuongelea mambo juu kwa kudhani kila mtu hajui chochote!
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom