Tatizo kubwa ni CCM, wanawapa vifaa vya kutosha askari wa FFU ili wapambane na raia wema wanaodai haki yao lakini wanawaacha askari wanaotakiwa kushughulikia majanga na dharura ili kuokoa maisha ya watu.Tatizo kubwa ni vifaa vya majanga ya moto hakuna labda yanavyoungua majengo yao wataliangalia upya ili suala.
Zima moto wamefika?
Hata ikulu moto ulishawahi tokea!Iliungua WTC unashangaa PPF? Acha makandarasi watengeneze deal, TUMESHAWAZOEA. Af utasikia "ooh, shoti ya umeme", pumbaf, mbona ikulu hatujawah sikia, au kule hakuna umeme
Ppf tower ya wapi? Mbona huweki mambo yaeleweke!
Kwa akili yake madhara ni kuumia tu!!! Kwani hicho kinachoungua kilinunuliwa kwa kutumia simbi, ebu kama hajui mambo aache kubwabwaja. Angesema madhara ya moto huu hayajulikani hadi hapo uchunguzi wa kina utakapofanyika. Watangazaji makanjanja ni janga la kitaifa.
Iliungua WTC unashangaa PPF? Acha makandarasi watengeneze deal, TUMESHAWAZOEA. Af utasikia "ooh, shoti ya umeme", pumbaf, mbona ikulu hatujawah sikia, au kule hakuna umeme
haya mambo ya kuungua ofisi weekend watu wwakiwwa hawapo kazini kunaleta utata sana
Tatizo nini au watu washatia moto nyaraka za siri kuficha ushhidi wa wizi wao kama ilivyofanyika mika ya 80 enzi zile za wizi wa beni na yule muheshimiwa naniliu......
Kasema ni makutano ya Ohio Street na Garden Avenue.Ppf tower ya wapi? Mbona huweki mambo yaeleweke!
Iliungua WTC unashangaa PPF? Acha makandarasi watengeneze deal, TUMESHAWAZOEA. Af utasikia "ooh, shoti ya umeme", pumbaf, mbona ikulu hatujawah sikia, au kule hakuna umeme
Ppf tower ya wapi? Mbona huweki mambo yaeleweke!
Sio lazima mipira ya magari ifike floor ya juu, majengo yote ya kisasa hua yana mabomba yalioanzia ground floor yakupeleke maji ya kuzimia moto kila floor na kila floor inamipira ya kutolea maji ya kuzima moto! Hivyo tatizo linaweza kua ni pump za kusukuma maji hazina nguvu au firefighter wetu waoga wanaogopa kwenda floor inayoungua kupitia ngazi za jengo.
Ppf tower ya wapi? Mbona huweki mambo yaeleweke!
Iliwahi kuungua kipindi cha mkapa mkuu....Iliungua WTC unashangaa PPF? Acha makandarasi watengeneze deal, TUMESHAWAZOEA. Af utasikia "ooh, shoti ya umeme", pumbaf, mbona ikulu hatujawah sikia, au kule hakuna umeme