Moto mkali unawaka muda huu maeneo ya keko Furniture/Njiapanda toroli

Moto mkali unawaka muda huu maeneo ya keko Furniture/Njiapanda toroli

Bani Israel

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2016
Posts
2,144
Reaction score
4,290
Moto mkali mpaka sasa umeunguza nyumba 3 na godown moja ambalo lilikuwa limejaa magodoro.

hadi sasa vikosi vya ulinzi vipo hapa fire ilikuja moja ikazidiwa ikabidi badala ya kuzma chanzo wapambane kuzuia moto usendelee kwa sasa zimefika nyingine mbili so zoezi la uokozi linaendelea.
IMG_20260222_140640_338.jpg
IMG_20260222_140634_256.jpg
IMG_20260222_140705_804.jpg
IMG-20260222-WA0012.jpeg
IMG_20260222_141627_599.jpg
 
Moto mkali mpaka sasa umeunguza nyumba 3 na godown moja ambalo lilikuwa limejaa magodoro.

hadi sasa vikosi vya ulinzi vipo hapa fire ilikuja moja ikazidiwa ikabidi badala ya kuzma chanzo wapambane kuzuia moto usendelee kwa sasa zimefika nyingine mbili so zoezi la uokozi linaendelea.
Dah! Watu wanapenda kufirisika hapo
 
muslims wanalitaka hilo eneo labda kama vile kariakoo, wamechoma wakapora, poleni waathirika ...
 
Moto mkali mpaka sasa umeunguza nyumba 3 na godown moja ambalo lilikuwa limejaa magodoro.

hadi sasa vikosi vya ulinzi vipo hapa fire ilikuja moja ikazidiwa ikabidi badala ya kuzma chanzo wapambane kuzuia moto usendelee kwa sasa zimefika nyingine mbili so zoezi la uokozi linaendelea.View attachment 3547246View attachment 3547247View attachment 3547248View attachment 3547249View attachment 3547250

Kiongozi, umepiga simu Fire/Zimamoto kwa namba yao ya bure kabisa 114 au umeona uje kwanza huku kuposti picha?
 
huku ni ndani ndani sana ila huyu boss ni mara ya 3 ndani ya miaka miwili anaunguliwa biashara miez ilopita pale keko barabarani kabisa
Mganga kadondosha Tunguli ina muonekano wa Smartphone
 
Back
Top Bottom