Akishindwa huyo cdm wenu mtaandamana
Na kwakuwa lowasa akiingia madarakani anafufua reli basi tena mosha itabidi malori yake akaegeshe uwani
Hahaha Tangu lini umekuwa mkazi wa Moshi Mkuu....???Mnashinda mitandaoni kusema uongo wenzenu wanashinda kuomba Kura pole sana Sisi tuna chagua Mosha Hapa Moshi tumechoka ubabaishaji