Moshi Nimewakubali!! David Mosha shtuka!.

Moshi Nimewakubali!! David Mosha shtuka!.

Kwa watu walivyo na Kiu ya mabadiliko. CCM hata wafanyeje wameshapuuzwa na kila mpenda haki!
Asanteni wana Moshi kwa kukataa ushenzi wa CCM na vibaraka wake...!
 
Kumbe ndio type hiyo? Hapa siyo fb

Mimi siyo type hiyo.. ujinga wa kusema Mungu ni mshabiki wa chama fulani acha. Kuwa mjinga sometimes kwa sisi binadamu ni kawaida. Kwa hili na wewe ulikuwa mjinga, acha.
 
Kulaaaaaa kulaaaaaaaaaaaaaaaaaaa

kulaaaaaaaaaa kuleniiiiiiiiiiiiiii pesa yote ya Mosha.... kulaaaaaa....

Then KURA UKAWAAAAAAAAAAAAAA....

Safiiiiiiii....!!!
 
hii style ni ya kipekee sana!!
huyu Bwana Mosha anaweza kuwa Bankrupt kabisa baada ya Uchaguzi.

Yawezekana ana bugdet ya wizara km zile za Wanawake or ya East Africa..
Hawa jamaa huwa ni kawaida yao kurudisha fedha ya umma kw njia kama hizo.
Saafi sana vijana wa CDM endeleen kuzila hizo fedha!
 
aiseeee, moshi ni habari nyingne.. yan tokea vyama vingi vianze hatujawahi kuichagua ccm kwnye ubunge hata cku 1..
mm namshangaa sana mosha alvyosambaza mabango yake moshi nzima na anagawa pesa kama njugu ili hal anajua kabisa halendw na wakaz wa moshi.
eti kawaidi wwkaz wa moshi akipita atagawa pikipik 400!! hv hlo kwel lnaingia akilin?????
 
Ujinga wa mosha hawajuwi vizuri watu wa moshi nihatari kuliko watu wa mkoa wowote wanakulaga pesa alafu badae wanakubafilikia kama vile hawakujuwi na wanakucheka!
 
We amwezi jafari ata kidogo jafari kawaambia vijana wasitoe mabango ya mosha ili manispaa iongeze mapato raha sana mbunge anayejua maendeleo ni mapato ya manispaa jafari ndio mbunge anayesubiria kuapishwa
 
Kwa kweli Yahaya ana kazi.Imebidi anunue nyumba fasta baada ya kuulizwa anaishi wapi! Hata hivyo haikumsaidia sana kwani aliulizwa tena umejiandikisha wapi kupiga kura! Davis Mosha aka Yahaya amejiandikisha Dar na sasa anahaha kuhamisha taarifa zake

Song linawika sana Mo town hili!!
 
Msijidanganye wanamoshi uchaguzi mkuu msiudharau. Mwaka 2005 ilikuwa almanusra Dr Slaa apigwe chini na Tsere wa CCM huko Karatu. Chukueni tahadhari.

Siasa za Karatu na Moshi haziendani kabisa.
 
Back
Top Bottom