hii style ni ya kipekee sana!!
huyu Bwana Mosha anaweza kuwa Bankrupt kabisa baada ya Uchaguzi.
Mkuu huna huruma?
Chezea chaga ww
Le mutuz atamsaidia
Ndiyo ina hit mjini sasa, iko namba za juu kwenye billboard chat za Mo town!!!
Mimi siyo type hiyo.. ujinga wa kusema Mungu ni mshabiki wa chama fulani acha. Kuwa mjinga sometimes kwa sisi binadamu ni kawaida. Kwa hili na wewe ulikuwa mjinga, acha.
Siasa za Karatu na Moshi haziendani kabisa.
Kula ccm kura chadema
Yah..
kamwaga hela ya kutosha na vijana wanaifanyia kazi
Umesema ukweli mtupu.
Ile kauli ya KULA CCM KULALA CHADEMA inatekelezwa kwa vitendo.
Mbunge mtarajiwa,Jaffari Michael anasema vijana wasitoe mabango ya Mosha ili achangie mapato ya manispaa.
Umenikumbusha Karatu, watu walikuwa wanashangilia ushindi wa Chadema huku wamevaa sare za ccm 2010
Ccm wanavaa magamba yao lkn moyoni ni cdm/ukawa
Kampeni zinazopigwa hapa spesheli na za aina yake.
Kwanza mabango ya Chadema (UKAWA) yakiwekwa yanaondolewa ndani ya dakika chache...
Sababu ni nzuri kabisa.
David Mosha anatumia nguvu na pesa ambazo kwa kweli zimepata watumiaji...
Hapa Moshi bwana Mosha kaurejesha wimbo wa Yahaya ulioimbwa na Lady Jaydee kwenye chat, ndiyo wimbo hapa...
Ni ngumu sana CCM kushinda ubunge Moshi mjini.
Hawa vijana wanaotoa bango ya Chadema ni wanazi wa chadema completely...wanafanya hivi kupiga hela zaidi za CCM!!
Mchana wako CCM kupiga hela ikifika jioni ni kampeni kali kwa upande wachadema, so ni kama deal flani hivi yakipekee...
Vijana wanaendesha kampeni za Ukawa kwa pesa ya CCM.
Wenyewe hawashtuki.