mi namshangaa sana mosha ni mkazi wa dar lakini anataka ubunge moshi angegombea kinondoni anakokaa kuliko kupambana na jafary kijana mzawa na mkazi
Akishindwa huyo cdm wenu mtaandamana
Kampeni zinazopigwa hapa spesheli na za aina yake.
Kwanza mabango ya Chadema (UKAWA) yakiwekwa yanaondolewa ndani ya dakika chache...
Sababu ni nzuri kabisa.
David Mosha anatumia nguvu na pesa ambazo kwa kweli zimepata watumiaji...
Hapa Moshi bwana Mosha kaurejesha wimbo wa Yahaya ulioimbwa na Lady Jaydee kwenye chat, ndiyo wimbo hapa...
Ni ngumu sana CCM kushinda ubunge Moshi mjini.
Hawa vijana wanaotoa bango ya Chadema ni wanazi wa chadema completely...wanafanya hivi kupiga hela zaidi za CCM!!
Mchana wako CCM kupiga hela ikifika jioni ni kampeni kali kwa upande wachadema, so ni kama deal flani hivi yakipekee...
Vijana wanaendesha kampeni za Ukawa kwa pesa ya CCM.
Wenyewe hawashtuki.
Cdm ni mpango wa mungu
Mungu hana mbia wala upande kwenye hili. Ni sawa Simba na Yanga zicheze, we mshabiki useme Mungu yuko upande wenu.
Huyu bwana juzi kazomewa mpaka na watoto wadogo.....
Mnashinda mitandaoni kusema uongo wenzenu wanashinda kuomba Kura pole sana Sisi tuna chagua Mosha Hapa Moshi tumechoka ubabaishaji
Umesema ukweli mtupu.
Ile kauli ya KULA CCM KULALA CHADEMA inatekelezwa kwa vitendo.
Mbunge mtarajiwa,Jaffari Michael anasema vijana wasitoe mabango ya Mosha ili achangie mapato ya manispaa.
Hujaeleweka
Huelewi nini.. Kwahiyo Mungu ana-political affiliation?
Kwa kweli Yahaya ana kazi.Imebidi anunue nyumba fasta baada ya kuulizwa anaishi wapi! Hata hivyo haikumsaidia sana kwani aliulizwa tena umejiandikisha wapi kupiga kura! Davis Mosha aka Yahaya amejiandikisha Dar na sasa anahaha kuhamisha taarifa zake
Msijidanganye wanamoshi uchaguzi mkuu msiudharau. Mwaka 2005 ilikuwa almanusra Dr Slaa apigwe chini na Tsere wa CCM huko Karatu. Chukueni tahadhari.