Moshi Masama: Shule ya kiislam na mashamba ya wazungu yadaiwa kuuziwa maji ya wananchi, wananchi hawana maji kwa miaka 8

Makimuda255

Senior Member
Jul 31, 2020
165
286
Masama Kilimanjaro inasemekana kuna shule za kiislam mbili zimeuziwa maji ya wananchi yote jambo ambalo limesabibisha wananchi kukosa maji tokea 2014 na kwasasa ni mwezi maji hayatoki

Katika tarafa ya masama kuna kijiji kinaitwa Kijiji cha Mudio ambapo eneo lijulikanalo kama kijiji cha Kimira limekosa maji kwa muda mrefu baada ya viongozi wa kampuni ya maji ya Losaa-Kia water supply kuamua kuuza maji yote kwa mashamba ya wazungu wawekezaji wa kibohehe kwa ajili ya umwagiliaji na kuwauzia shule za kiislam mahali hapo maji yote kwa rushwa huku wananchi wa kimira wakitaabika kwa kukosa maji

Hakuna kampuni imejaa viongozi wala rushwa,na wasiopenda kusikiliza matatizo ya maji ya wateja wake kama hii ya losaa kia water supply

Imekaa viongoji wala rushwa na wanaokula fedha wakati mradi ni wa wananchi serikali ichukue hatua kali maana wakazi wa kimira ni miaka sasa maji yao yameuziwa kwa wageni na shule za binafsi za kidini huku wao wakitaabika na shida ya maji ambayo inawalazimu kutembea umbali mrefu na kuchota maji ya mito na kutumia kwa ajili ya matumizi ya nyumbani

Hii ni aibu!!
 
Naomba serikali iwachukulie hatua kali kampuni ya maji ya LOSAA-KIA WATER SUPPLY kwa kuyachukua maji ya mradi wa maji safi ambayo walichimba na kugharamia wananchi kisha kuwauzia wawekezaji wa mashamba ya kibohehe na shule za kiislam za Mudio huku wananchi wakibaki bila maji


Hilo limefanyika katika kijiji cha kimira huko Masama Mudio wilayani Hai ambapo bomba kubwa la mradi linaloekea kijijini hapo limechepushwa na maji yakauziwa wawekezaji wa mashamba ya kibohehe na shule za kiislam za Mudio na wananchi wamebaki bila maji

Maji hayatoki tena mabombani, huu mchezo mchafu umeanza tokea 2014 na wananchi wamelalamika sana, hakuna kinachofanyika maana maboss wa kampuni ya losaa wanapewa fedha na wawekezaji wa kibohehe na shule za binafsi za hapo

Na kinachoumiza ni kwamba huo mradi ni wa wananchi wao ndo walichimba mitaro,na kusambaza mabomba na wakachangia hadi fedha lakini mwishowe maji yameuzwa na viongozi wasio waadilifu kwa hayo mashamba ya wawekezaji na hizo shule mbili

Huu ni wakati wa serikali kuchukua hatua kali dhidi ya watendaji wa Kampuni ya losaa kia water supply hii ni aibu kwa Wilaya ya Hai na Kilimanjaro


Wakazi wa kijiji cha Kimira kilichopo Mudio Masama Kilimanjaro ndo wahanga wa hili mfano sasahivi tokea November maji hayajawahi kutoka,na viongozi wa kampuni ya maji na watendaji wao hutoa lugha chafu kwa wananchi pale wanapolalamikia tatizo la maji na bado wanawaletea bili za maji kila mwezi na kuwalazimisha walipe wakati maji hayatoki
 
Hili la maji ya wananchi kuuziwa shule za kiislam Moshi na mashamba ya wazungu na kuwaacha wazawa bila maji limenishangaza

Naomba serikali iwachukulie hatua kali kampuni ya maji ya LOSAA-KIA WATER SUPPLY kwa kuyachukua maji ya mradi wa maji safi ambayo walichimba na kugharamia wananchi kisha kuwauzia wawekezaji wa mashamba ya kibohehe na shule za kiislam za Mudio huku wananchi wakibaki bila maji

Hilo limefanyika katika kijiji cha kimira huko Masama Mudio wilayani Hai ambapo bomba kubwa la mradi linaloekea kijijini hapo limechepushwa na maji yakauziwa wawekezaji wa mashamba ya kibohehe na shule za kiislam za Mudio na wananchi wamebaki bila maji

Maji hayatoki tena mabombani, huu mchezo mchafu umeanza tokea 2014 na wananchi wamelalamika sana, hakuna kinachofanyika maana maboss wa kampuni ya losaa wanapewa fedha na wawekezaji wa kibohehe na shule za binafsi za hapo

Na kinachoumiza ni kwamba huo mradi ni wa wananchi wao ndo walichimba mitaro,na kusambaza mabomba na wakachangia hadi fedha lakini mwishowe maji yameuzwa na viongozi wasio waadilifu kwa hayo mashamba ya wawekezaji na hizo shule mbili

Huu ni wakati wa serikali kuchukua hatua kali dhidi ya watendaji wa Kampuni ya losaa kia water supply hii ni aibu kwa Wilaya ya Hai na Kilimanjaro

Wakazi wa kijiji cha Kimira kilichopo Mudio Masama Kilimanjaro ndo wahanga wa hili mfano sasahivi tokea November maji hayajawahi kutoka,na viongozi wa kampuni ya maji na watendaji wao hutoa lugha chafu kwa wananchi pale wanapolalamikia tatizo la maji na bado wanawaletea bili za maji kila mwezi na kuwalazimisha walipe wakati maji hayatoki
 
Naomba serikali iwachukulie hatua kali kampuni ya maji ya LOSAA-KIA WATER SUPPLY kwa kuyachukua maji ya mradi wa maji safi ambayo walichimba na kugharamia wananchi kisha kuwauzia wawekezaji wa mashamba ya kibohehe na shule za kiislam za Mudio huku wananchi wakibaki bila maji


Hilo limefanyika katika kijiji cha kimira huko Masama Mudio wilayani Hai ambapo bomba kubwa la mradi linaloekea kijijini hapo limechepushwa na maji yakauziwa wawekezaji wa mashamba ya kibohehe na shule za kiislam za Mudio na wananchi wamebaki bila maji

Maji hayatoki tena mabombani, huu mchezo mchafu umeanza tokea 2014 na wananchi wamelalamika sana, hakuna kinachofanyika maana maboss wa kampuni ya losaa wanapewa fedha na wawekezaji wa kibohehe na shule za binafsi za hapo

Na kinachoumiza ni kwamba huo mradi ni wa wananchi wao ndo walichimba mitaro,na kusambaza mabomba na wakachangia hadi fedha lakini mwishowe maji yameuzwa na viongozi wasio waadilifu kwa hayo mashamba ya wawekezaji na hizo shule mbili

Huu ni wakati wa serikali kuchukua hatua kali dhidi ya watendaji wa Kampuni ya losaa kia water supply hii ni aibu kwa Wilaya ya Hai na Kilimanjaro


Wakazi wa kijiji cha Kimira kilichopo Mudio Masama Kilimanjaro ndo wahanga wa hili mfano sasahivi tokea November maji hayajawahi kutoka,na viongozi wa kampuni ya maji na watendaji wao hutoa lugha chafu kwa wananchi pale wanapolalamikia tatizo la maji na bado wanawaletea bili za maji kila mwezi na kuwalazimisha walipe wakati maji hayatoki
33155E25-91CA-4892-8CD3-2FF16BBBCF0E.jpeg
Tangu wafe wakina Ndesamburo,wachaga wa siku hizi wamekua wa hovyo hovyo sana hawajielewi.
 
Wananchi mna shindwa kufanya action moja matata hapo .kama nyie ndo mme chimba huo mtaro sizani kama ita washinda kuuchimbua
 
Bro acha uongo. Nimeishi hapo Kirikiri kuanzia mwaka 2008. Hapajawahi kuwa na shida ya maji unayosema. Kwa sasa kuna changamoto kubwa ya maji sehemu nyingi sana kutokana na ongezeko la watu huku miundombinu ikiwa ileile iliyohudumia watu wachache miaka ya 90.

Pili hao wenye shule wana haki ya kutumia maji kama wateja wengine tu. Hivi kwa akili ya kawaida tu ulitaka wanafunzi hao wawe wanatumia maji ya huo mto hapo mbwashini (topeni).

Tatu Shamba la Kahawa la Kibo estate lina mfumo wake wa kujitegemea wa maji toka miaka ya 70 huko. Hata mzungu aliyefanyiwa fitina na Sabaya aliweka mifereji na mabomba toka mto Namwi hasa alipoanzisha kilimo cha parachichi.

Nne, shule za Mudio Islamic Primary na Secondary (hakuna shule ingine ya kiislamu yenye shule mbili, Kibohehe haina primary) Hata wangeuziwa maji kweli hawana uwezo wa kutumia yote unless wafanye shule zote mabwawa na waishi kama samako kwa maji tu. Shule zenyewe zina maeneo kidogo sana.

Tano, kama wenye shamba la kahawa wangeuziwa maji basi yasingetosha kunyeshea hata robo ya eneo la shamba... Kwanza kahawa zenyewe ukiziona zimekauka kwa ukame.

MWISHO, achana na habari za uchobganishi, unapaswa kukumbuka kuwa sasa Sabaya hayupo madarakani wala aliyemuweka kipindi kile. Ni kweli kuna upungufu mkubwa sana wa maji kwa sababu ya ukame na siyo kwa kuwa maji yameuzwa.

Ilo kuuza maji yote ingebidi kampuni ya maji iwa-disconnect wateja wengine wote na iunganishe kwenye bomba za hao ukiowataja. Jambo lisilowezekana kamwe.
 
Bro acha uongo. Nimeishi hapo Kirikiri kuanzia mwaka 2008. Hapajawahi kuwa na shida ya maji unayosema. Kwa sasa kuna changamoto kubwa ya maji sehemu nyingi sana kutokana na ongezeko la watu huku miundombinu ikiwa ileile iliyohudumia watu wachache miaka ya 90....
mkuu unamaanisha sasa hivi yale maji ya mgao ya kumwagilia mashambani yanayomwagika mwaka mzima hayapo tena!!!?..
 
Bro acha uongo. Nimeishi hapo Kirikiri kuanzia mwaka 2008. Hapajawahi kuwa na shida ya maji unayosema. Kwa sasa kuna changamoto kubwa ya maji sehemu nyingi sana kutokana na ongezeko la watu huku miundombinu ikiwa ileile iliyohudumia watu wachache miaka ya 90.
Pili hao wenye shule...
Wewe ni mpumbavu wa mwisho!!!Kirikiri ni kimira?Jifunze kutofautisha

Pili unasema eti nachozungumza ni uwongo?Unakifahamu kijiji cha kimira au unaropoka?Kimira ya Juu yote kuanzia kanisani mudio tokea 2014 wananchi wanateseka maji yameuzwa Islamic na kibohehe halafu unaongea pumba zako hapa

Maji ya kimira yote yamechepushwa kupitia mkwamangi yakapelekwa mudio Islamic halafu wewe unatetea uwongo wako hapa kanakwamba wewe unaijua kimira kuliko mm mkazi?
 
Bro acha uongo. Nimeishi hapo Kirikiri kuanzia mwaka 2008. Hapajawahi kuwa na shida ya maji unayosema. Kwa sasa kuna changamoto kubwa ya maji sehemu nyingi sana kutokana na ongezeko la watu huku miundombinu ikiwa ileile iliyohudumia watu wachache miaka ya 90...
Halafu nikukumbushe Aliyekua boss wa hii kampuni kutoka hiyo kirikiri yenu alisweka ndani baada ya kuiba milioni 900 za maji na bila shaka wewe utakua mwanae au ni mnufaikia mfumo wa unyonyaji ndo zenu nyie watu wa modio
 
Amkeni usiku at unknown day mkayakate mabomba yote fumueni system nzima ya maji ndio kilio chenu kitasikika maana huyu mwekezaji atajifanya kuripoti kwenye mamlaka husika hapo nao watataka kujua nini kimetokea wakati huo mnakuwa na waandishi wa habari mnaonyesha kukerwa kwenu na mmuombe Waziri wa Maji ndio aje kuwatatulia huo mgogoro.
 
Back
Top Bottom