The Icebreaker
Platinum Member
- Apr 24, 2014
- 34,370
- 103,706
sasa nani akujengee mji wakati unakula bata nairobi,vuna nairobi lete pesa moshi,nyooo
Tumeshajua unaishi nairobi haya sikuku njema
Unataka uonekane nawe wa moshi ehh?ila pataendeleaje wakati wazawa mnaonekana kwa msimu hasa sikukuu kama hizi tena mnaenda kwajili ya matambiko,hamuwekezi nyumbani,fursa kibao zipo kilimanjaro,unabaki kulialia hapa jf, sijuwi ili uwonekane nawe wa moshi umerudi nyumbani huu ni ujinga.maendeleo ya sehemu yanaanzia kwako binafsi.
Wewe una compare Moshi na mji gani? au ni Moshi Vs Nairo, au Moshi VS dar au Moshi VS Nairobi?
Huna tofauti na mkimbizi bora urudi tu ulikotoka. Wakati umekimbia Moshi ukaenda kuendeleza Nairobi ulim task nani kazi ya kuendeleza Moshi. I hate you!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!. fungua masikio na macho nikueleweshe; Moshi ya mwaka juzi siyo ya mwaka huu. Ukimaliza barabara ya kuingia KIA kama unatokea Arusha just angalia mbele kwenye horizon ya macho yako uniambie kama Moshi inakua au haikuwi. Nenda mjini angalia ongezeko la Hotel na vitega uchumi niambie kama Moshi inakua haikui
Tatizo unakaa kijijini na wewe ni muongo kabisa. Tuulize sisi watoto wa town hapo kipande ya pasua. Moshi miaka mitano iliyopita ilikuwa kata chache ndio zilikuwa na barabara za lami. Lakini sasa ukienda pasua lami, majengo lami, soweto lami, kcmc, ngangamfumuni, mwereni, kb lami na mpk 2020 Moshi mjini itakuwa hapo katikati ya mji hakutakuwa na barabara ya vumbi hata moja ambapo hata dar posta mpya zipo. Maana mradi wa WB ukiisha zitabaki km kama 2500 tu hazina lami lakini kwa mfuko wa barabara wa manispaa wanajenga km 2 za lami kila mwaka kwa hyo hizo zitajengwa na mfuko wa barabara ambazo ni kipande cha barabara za mission, factory, mitaa ya osterbay. Sasa wewe unayesema moshi haibadiliki sema machame haibadiliki
Nimefanya kazi bonite nimetumia njia ya Pasua sana uko reli ilipo pita hadi uko boma mbuzi pako choka mbaya sana ulipo wewe uko
mleta mada una ishu gani huko nairobi kiasi cha kutokurudi kwenu kwa muda wa miaka mitano?!
Tueleze tatizo lililokufanya usirudi kwenu for 5 years ni nini?
Unasema Moshi haibadiliki wewe sema ulikuwa unataka tu ujulikane umetoka nairobi. Moshi wamepeleka proposal ya kuwa jiji anasubiriwa rais asign tu maana vigezo vyote vimetimizwa. Leo hii moshi zinajengwa malls zenye level za malls za dar es salaam yako majengo mapya marefu na mazuri kama ya miji mikubwa kwa mfano juz kati ghorofa la nssf 10 floors limezinduliwa, kuna ghorofa ya ravji 10 floors, saba general 7floors, A & F commercial tower inahengwa opp nmb 12 floors, emslies twin towers adjacent KNCU 10 floors each, fresh coach commercial building more than 7 floors na nyingine nyingi unataka ibadilike vipi? Wewe unataka kuhusisha siasa hapa.
Umemjibu vizuri Toxic9 big up. Hivi anategemea nani amjengee moshi wkt mwaka mzima wachaga hawapo kwao wanarudi christmas pekee. Wanataka watu kutoka Mbeya au Morogoro waje kuwajengea???
Apo stand niliwekeza sana ghorofa ya juu nilikua na duka la nguo kubwa tu nimeenda wakashindwa endesha biashara ni wape nini tena ndugu zangu..
Umemjibu vizuri Toxic9 big up. Hivi anategemea nani amjengee moshi wkt mwaka mzima wachaga hawapo kwao wanarudi christmas pekee. Wanataka watu kutoka Mbeya au Morogoro waje kuwajengea???
Apo stand niliwekeza sana ghorofa ya juu nilikua na duka la nguo kubwa tu nimeenda wakashindwa endesha biashara ni wape nini tena ndugu zangu..
kituo kina ghorofa moja ukisema ya juu utawapaisha sana ILA KWA USAF NAWAPONGEZA japo moshi hawana stend ila wana daraja 7b magar yote yanaptiliza kwenda mikoa mingine labda maguta ndio yanabak hapo
nimepakumbuka matindigani pale stend ya vihiace kuanzia bingo, shule ya mandela, chalinze, mshana bar soko la pasua n.k
Nimeshangaa daladala mwisho saa moja dah imenishangaza marafiki zangu niliokuja nao kutoka kenya wanashangaa sana
1. Unaishi Nairobi
2. Unamiliki Alteeza
endelea....
Mkuu ulitaka ziwe hadi saa tano zikikubeba ww tu au??
1. Unaishi Nairobi
2. Unamiliki Alteeza
endelea....
Nimeshangaa daladala mwisho saa moja dah imenishangaza marafiki zangu niliokuja nao kutoka kenya wanashangaa sana