Replica
JF-Expert Member
- Aug 28, 2017
- 1,446
- 7,817
Afisa Ustawi wa Jamii mkoani Morogoro, Jesca Kamugela amesema Matukio ya mimba na ndoa za utotoni yamezidi kuongezeka katika mkoa huo ambapo katika kipindi cha mwaka mmoja 2020/21 ya watoto 1,277 wamepata ujauzito kulingana na matukio yaliyoripotiwa.
Halmashauri zote za Morogoro zimekuwa zikiripoti matukio hayo na hali imeendelea kutokuwa nzuri. Jesca amesema chanzo kikubwa wanachokiona ni mmomonyoko wa maadili hasa kwa upande wa wazazi na hata watoto.
Najiuliza pamoja na sheria kali ya kumpa ujauzito mwanafunzi lakini wapi, tufanyaje kama jamii?
Halmashauri zote za Morogoro zimekuwa zikiripoti matukio hayo na hali imeendelea kutokuwa nzuri. Jesca amesema chanzo kikubwa wanachokiona ni mmomonyoko wa maadili hasa kwa upande wa wazazi na hata watoto.
Najiuliza pamoja na sheria kali ya kumpa ujauzito mwanafunzi lakini wapi, tufanyaje kama jamii?