Wanaume wafupi mkoani Morogoro wapanga kuandamana kudai haki ya wao kupendwa na wanawake maana imeonekana kundi hili linaongoza kwa kudharauliwa hasa na jinsia ya kike.
Mwenyekiti wa kamati ya maandamano bw. Said Juma mkazi wa Nane Nane mkoani Morogoro amedai dharau zimezdi sana sasa wamechoka na wameamua kuandamana ,wakiwa na lengo la kuisisitiza jamii kutowadharau kwa ufupi walionao.
Hii imekuja baada ya jamaa mmoja anayeitwa Dulla Shortii, dereva boda boda maarufu xana mkoani hapa kushushiwa kashfa za kutosha na binti mmoja, maneno hayo ya dharau na kejeli yalimfanya Dulla kujiona kama mtu asiye na thamani na haki ya kupenda duniani "kaone kwanza haka kambilikimo hivyo unadhani me ntakupeleka wapi hvi wewe wakuishi na mtu kama mimi pumbavu wewe" hayo ni baadhi ya maneno ya kashfa aliyopewa Dulla Shortii kutokana na hili basi watu wafupi wameona wafanye maandamano ya amani kupinga vitendo vya dhalau dhidi yao.
Nawasilisha
source Planet fm morogoro
Mwenyekiti wa kamati ya maandamano bw. Said Juma mkazi wa Nane Nane mkoani Morogoro amedai dharau zimezdi sana sasa wamechoka na wameamua kuandamana ,wakiwa na lengo la kuisisitiza jamii kutowadharau kwa ufupi walionao.
Hii imekuja baada ya jamaa mmoja anayeitwa Dulla Shortii, dereva boda boda maarufu xana mkoani hapa kushushiwa kashfa za kutosha na binti mmoja, maneno hayo ya dharau na kejeli yalimfanya Dulla kujiona kama mtu asiye na thamani na haki ya kupenda duniani "kaone kwanza haka kambilikimo hivyo unadhani me ntakupeleka wapi hvi wewe wakuishi na mtu kama mimi pumbavu wewe" hayo ni baadhi ya maneno ya kashfa aliyopewa Dulla Shortii kutokana na hili basi watu wafupi wameona wafanye maandamano ya amani kupinga vitendo vya dhalau dhidi yao.
Nawasilisha
source Planet fm morogoro