Madhara!Nipo mitaa ya 88 mji kasoro bahari mida hii 12:31 - 12:32 Pm limepita tetemeko la ardhi japo kipimo chake hakijajulikana, labda mamlaka husika zitasema.
Enjoy your day guys
Nipo mitaa ya 88 mji kasoro bahari mida hii 12:31 - 12:32 Pm limepita tetemeko la ardhi japo kipimo chake hakijajulikana, labda mamlaka husika zitasema.
Enjoy your day guys
Nipo Dar natoka Tegeta naenda Kivukoni, nipo kwenye Eicher. Halafu ndio nasoma hii nyuzi ya Tetemeko. Eicher halitulii hadi nikahisi ndio tetemeko lenyewe nini. Namalizia kusoma ndo nkajua kumbe ni Moro. Maana Eicher linadundadunda hatari dah!Nipo mitaa ya 88 mji kasoro bahari mida hii 12:31 - 12:32 Pm limepita tetemeko la ardhi japo kipimo chake hakijajulikana, labda mamlaka husika zitasema.
Enjoy your day guys
🤣nipo dar natoka tegeta naenda kivukoni nipo kwenye Eicher halafu ndio nasoma hii nyuzi ya Tetemeko,
Eicher halitulii hadi nikahisi ndio tetemeko lenyewe nini, namalizia kusoma ndo nkajua kumbe ni Moro,
maana Eicher linadundadunda hatari dah !
Pole sana bana,
nipo dar natoka tegeta naenda kivukoni nipo kwenye Eicher halafu ndio nasoma hii nyuzi ya Tetemeko,
Eicher halitulii hadi nikahisi ndio tetemeko lenyewe nini, namalizia kusoma ndo nkajua kumbe ni Moro,
maana Eicher linadundadunda hatari dah !
Pole sana bana,
hofu ya Tetemeko kwenye eicher tegeta kivukoni
Masalia ya tetemeko la Afghanistan... Lililoondoka na roho 2000+ mpaka sasaNipo mitaa ya 88 mji kasoro bahari mida hii 12:31 - 12:32 Pm limepita tetemeko la ardhi japo kipimo chake hakijajulikana, labda mamlaka husika zitasema.
Enjoy your day guys
Limepita linaenda wapi?Nipo mitaa ya 88 mji kasoro bahari mida hii 12:31 - 12:32 Pm limepita tetemeko la ardhi japo kipimo chake hakijajulikana, labda mamlaka husika zitasema.
Enjoy your day guys
nina wasiwasi huenda linakuja darLimepita linaenda wapi?
ImpossibleUsikute ndio mabomu ya wayahudi yamesikika mpaka huko?
Hope hakuna madhara yaliyojitokeza.
Siyo ajabu.nina wasiwasi huenda linakuja dar
Amen,Siyo ajabu.
Mwenyezi Mungu atustiri kusiwe na maafa na maghorofa ya Dar. Hakuna tetemeko yanateremka yenyewe.