Kashishi yetu
JF-Expert Member
- Mar 22, 2014
- 3,634
- 3,944
Huyo alitaka fursa tu ya kushikana mikono na rais ili apige naye picha kisha akawatishie/kuwalingishia na watu wa kijijini kwao kuwa yeye ni matawi ya juu hadi Rais anamjua
Hamna kitu apo Kuna kabstan chake hushinda humo...medula oblangata, hahaha acha utanu kijana. Afande yupo vizuri
ACT WazalendoKwani alikuwa chama gani
Njaa tu na kuogopa vitisho ndo vinawasumbuaAisee
Naona zk kabaki mwenyewe
Wapinzani buana mnachekesha sana, eti Wema Sepetu alipohamia kwenu mkasema jembe hahaha, alivyowahama tena ohhhhhhhh,
@mudawote hizi replies mbili ipi ni halisiUmeonesha imoji za kucheka na machozi, ila naelewa wewe ni mwana CCM kindakindaki!
Wamepewa madaraka makubwaNaomba kukuuliza maswali machache madogo rahisi kabisa,
Tofauti ya ACT na CCM ni ipi?
Na kati ya Afande Sele, Anna Mghwira na Profesa Kitila Mkumbo ni yupi na yupi hapa zilikuwa ni Asset za ACT?
Kweli sasa naamini hii nchi inaongozwa na Washamba,
Source: Zitto Kabwe.
View attachment 715519
Mbona alishama siku nyingi?Kwani afande sele ni nani?